MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
This is Tanzania.
Yaliyoendelea, yanayoendelea yanasikitisha.
Umeona takwimu za chanjo ya UVIKO-19 kuwa 86% ya Watanzania Wamechanja 😅
Kwa sample ndogo ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo kazi iliyokuwa inafanyika inasikitisha.
Vials za chanjo za UVIKO-19 zimemwagwa sana kwa kushirikiana na timu ya uongozi wake Afya ya Wilaya na hivyo KUPIKA majina bandia ya chanjo.
Yasemekana kwasasa ukaguzi rasmi wa Data (Data verification) hivyo watu hawalali wanapika vitabu kwaajili ya Wakaguzi.
Je, Hali iko hivi nchi nzima?
Yaliyoendelea, yanayoendelea yanasikitisha.
Umeona takwimu za chanjo ya UVIKO-19 kuwa 86% ya Watanzania Wamechanja 😅
Kwa sample ndogo ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo kazi iliyokuwa inafanyika inasikitisha.
Vials za chanjo za UVIKO-19 zimemwagwa sana kwa kushirikiana na timu ya uongozi wake Afya ya Wilaya na hivyo KUPIKA majina bandia ya chanjo.
Yasemekana kwasasa ukaguzi rasmi wa Data (Data verification) hivyo watu hawalali wanapika vitabu kwaajili ya Wakaguzi.
Je, Hali iko hivi nchi nzima?