Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,738
- 6,802
Nimekaa nikafikiria hili swala. Kuna majina fulani ya kiislam hayo hata aitwe nani basi utakuta ni binti mwenye tabia nzuri sana. Ila pia kuna yale majina ambayo menyewe tu yanamaanisha fujo, dishi limeyumba, cha wote, pichu mkononi kuendelea...
NITAANZA NA TATU BORA
1)AMINA
Wanawake wenye hili jina wengi wao wana tabia na roho nzuri sana. Pia ni waaminifu na wife material.
2)ZAWADI
Aisee sijawahi kuona zawadi mwenye kichwa kibovu, shida wengi wapole kupitiliza na wakishakuamini wamekuamini. Mara nyingi wanatumiwa na kuishia kuwa single mothers
3)MARYAM au MARIAMU
Hawa nao wachache sana kukuta dishi limeyumba.
Sasa tunakuja kwenye tatu za hovyo au tatu chafu.
1)MWAJUMA & MWANNE
Aisee nenda mwananyamala kaulize kuna kina MwaJ au Mwa4 wangapi kwenye vile vijumba vya bao 1 elf 5
2)AISHA.
Sasa hawa mpaka uwe mjanja sana kuona uhuni wao, wengi huwa ni marafiki wa madem zetu, wanapenda sana kuwaita mashemeji wao 'Shem darling'. Ukitupa swagg kidogo yuko radhi kumsaliti rafiki yake. Ukija ukaboronga anakuchomesha kwa dem wako kwamba ulimtaka na yeye. Ma-Aisha wamechangia sana kuvunja mahusiano na mimi nikiwa mmoja wa wahanga.
3)Ngoja nimchokoze Nakadori , ila hii ni category ya wenye vimajina fulani hivi sio vya kikristo wala kiislam lakin kuna muda unawaona na shungi, mara utakuta anaitwa muuu, mara juju, nk nk... wengi kawaida yao dera na pichu bila bra ndo sare yao ya kushindia.
Haya wataalam ongezeeni na nyie tatu bora na tatu chafu zenu
NITAANZA NA TATU BORA
1)AMINA
Wanawake wenye hili jina wengi wao wana tabia na roho nzuri sana. Pia ni waaminifu na wife material.
2)ZAWADI
Aisee sijawahi kuona zawadi mwenye kichwa kibovu, shida wengi wapole kupitiliza na wakishakuamini wamekuamini. Mara nyingi wanatumiwa na kuishia kuwa single mothers
3)MARYAM au MARIAMU
Hawa nao wachache sana kukuta dishi limeyumba.
Sasa tunakuja kwenye tatu za hovyo au tatu chafu.
1)MWAJUMA & MWANNE
Aisee nenda mwananyamala kaulize kuna kina MwaJ au Mwa4 wangapi kwenye vile vijumba vya bao 1 elf 5
2)AISHA.
Sasa hawa mpaka uwe mjanja sana kuona uhuni wao, wengi huwa ni marafiki wa madem zetu, wanapenda sana kuwaita mashemeji wao 'Shem darling'. Ukitupa swagg kidogo yuko radhi kumsaliti rafiki yake. Ukija ukaboronga anakuchomesha kwa dem wako kwamba ulimtaka na yeye. Ma-Aisha wamechangia sana kuvunja mahusiano na mimi nikiwa mmoja wa wahanga.
3)Ngoja nimchokoze Nakadori , ila hii ni category ya wenye vimajina fulani hivi sio vya kikristo wala kiislam lakin kuna muda unawaona na shungi, mara utakuta anaitwa muuu, mara juju, nk nk... wengi kawaida yao dera na pichu bila bra ndo sare yao ya kushindia.
Haya wataalam ongezeeni na nyie tatu bora na tatu chafu zenu