Ndiyo, sisi waafrika wenyewe si tumegoma kutumia majina yetu ya asili na kuyakumbatia majina fulani hivi enzi na enzi na sasa waliotukabidhi hayo majina sasa wanatuletea ushoga milangoni mwetu.........it gets nearer siku baada ya siku.
Kutokana na hilo, nafikiria ni wakati sasa wa kutumia majina ya kishujaa kama Vladimir, Sergei, Xi n.k ili kuondokana na balaa hili.
Nawasilisha!
Kutokana na hilo, nafikiria ni wakati sasa wa kutumia majina ya kishujaa kama Vladimir, Sergei, Xi n.k ili kuondokana na balaa hili.
Nawasilisha!