Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,882
- 155,860
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni