magufuli

  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

    Habari, Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana. Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho. Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika. Watu wa imani tunaamini kuwa mateso...
  2. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

    Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesaini hati ya makubaliano ya jumla ya shilingi milioni 420 ya ujenzi wa sanamu la Hayati John Pombe Magafuli, na ukarabati wa kumbi kubwa za kisasa kwenye maonyesho ya sabasaba ya 45. Mkurugenzi wa TanTrade Rutageruka Sabi amesema kuwa...
  3. Econometrician

    JamiiForums Tanzania Tumshukuru Hayati Dkt. Magufuli kwa kutuondolea vyama vya siasa visivyo na maana

    Kapitia ukatili wake JPM, angalau ametuondolea mlundikano wa vyama vya siasa ambavyo vilikuwa havina maana. Leo hii hatuna tena CUF, UNDP, NCCR-Mageuzi & ACT kwa Tanzania bara. Kweli kila jambo lina faida na hasara hamna baya la moja kwa moja, uvumlivu wenu WANACHADEMA leo umekuwa matunda kwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Corona: Bila Barakoa huingii stendi ya Magufuli

    Kuanzia Jumatatu bila kuvaa barakoa stendi ya Magufuli hakuingiliki tena. Hata hivyo inashangaza kwanini kuwataka wenye mabasi kuwa na sanitizers kwa ajili ya abiria. Kama ilivyo kwa barakoa, afya ya mtu ni wajibu wake mwenyewe. Hizi za kutwishana majukumu ya wengine ndiyo chanzo cha kupalilia...
  5. Last emperor

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Profesa Kabudi akimwita Magufuli Mheshimiwa Mungu

    Salaam wanajukwaa la Great Thinkers. Nimekuwa nikitafakari umuhimu wa katiba mpya, na mapungufu ya Katiba iliyopo, ambayo inampa Rais madaraka makubwa ya kufanya anachotaka bila kuhojiwa wala kuwajibishwa na chombo chochote mpaka anakuwa na ukuu kama wa Mungu katika nchi yake. Na hiyo...
  6. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama msimamo wa Rais Samia ndio huu, tujiandae kwa mapambano makali na magumu mbeleni

    "Kama msimamo wa Samia Suluhu Hassan ndio huu aliousema juzi, maana yake ni kwamba tujiandae kwa mapambano makali na magumu mbeleni. Huyu mama ni Magufuli wa kike, kwa hii kauli yake kuhusiana na haki za vyama vya siasa na katiba mpya ni anataka kuendeleza Umagufuli bila Magufuli mwenyewe...
  7. BAK

    JamiiForums Tanzania Samaki wa Magufuli

    01Jul 2021 WAANDISHI WETU Dar es Salaam Habari Nipashe Mtihani samaki wa Magufuli WAKATI upande wa utetezi ukisubiri kutekelezwa kwa hukumu ya serikali kulipa fidia ya mabilioni ya shilingi kutokana na kukamata meli ya Tawariq 1 iliyokuwa na samaki mwaka 2009, maarufu Samaki wa Magufuli...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mfugale fly over, Daraja la juu la Kijazi, Magufuli Bus Terminal, Soko la Chifu Kingalu na Soko la Ndugai miradi iliyotukuka

    Ni miradi iliyofunguliwa na hayati Magufuli. Ni miradi yenye kumbukumbu nzuri katika kurahisisha shughuli za jamii kwa maeneo husika. Ni miradi itakayokumbukwa kwa muda mrefu. Nawasalimu kwa jina la JMT!
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Napendekeza aliyekuwa 'akimshauri' Hayati Rais Dkt. Magufuli aseme Tanzania hakuna kabisa 'Corona' asakwe popote na 'anyongwe' upesi sana

    Nina sababu Mbili tu juu ya hili ambazo... 1. Kauli ya Hayati Rais Dkt. Magufuli kusema na Kukulazimisha Watanzania tuamini kuwa hakuna Corona nchini nina uhakika huenda ikawa imepelekea Vifo vingi kuliko hata idadi ambayo tunategemea huku 'tukilainishwa' kwa neno la 'Kinafiki' kuwa ni...
  10. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Lust for governance in Tanzania

    lust for governance in Tanzania 👉 CCM is known to give fake promises to it's citizens! It started on employment ! It was postponed but after some days other leaders came with ' vijana wajiajiri!' 👉 For this also many citizens will put thier faith, thinking she will have time for what she...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Je, Hayati Magufuli alikuwa anatekeleza Ilani ya CCM au alitenda kama mgombea binafsi japo kikatiba haipo?

    Kwenye uchaguzi mkuu option huwa ni mbili kuna wanaochagua chama na Ilani yake na kuna wengine wanachagua mtu bila ya kujali itikadi za kisiasa. Kuna wakati RC mstaafu wa Mbeya Albert Chalamila aliwahi kusema kwa utendaji wa Magufuli ulivyo inabidi kianzishwe chama kingine kitakachoitwa...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia siyo kila Kitu cha Hayati Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuigaiga tu, tulia nawe tengeneza 'Leadership Style' yako tafadhali

    Yaani Mtangulizi wako Hayati Rais Dkt. Magufuli alianzisha tabia ya Kuvizia Wasanii wenye Majina makubwa nchini wakiwa 'on the Stage' wakitumbuiza na Kuwapigia Simu Kuwapongeza nawe Jana umeamua upite mule mule kwa Kumpigia Msanii wa Kike Nandy akiwa anatumbuiza Mkoani Dodoma na Kumpongeza pia...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa. Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani...
  14. Sarikiaeli

    JamiiForums Tanzania Askofu Kakobe: Tulipomchagua Magufuli kuwa Rais; tulimchagua Rais mtarajiwa mhe.Samia kwa mujibu wa Katiba !

    YALIYOJIRI KONGAMANO LA WATUMISHI WA MUNGU KUMWOMBA NA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU 100 ZA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MADARAKANI KUONGOZA NCHI YA TANZANIA Kongamano lilianzia kwa maneno ya salamu za viongozi mbalimbali wa dini sawa na kusudi la kongamanona sambamba na...
  15. Mtoto wa Nyerere

    JamiiForums Tanzania Magufuli alikuwa muongo sana

    Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata? Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
  16. Mtoto wa Nyerere

    JamiiForums Tanzania Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

    Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena Somo la historia ya Tanzania lasitishwa Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote. Source ITV news ============== Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia...
  17. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Magufuli alifariki miezi 3 iliyopita lakini unaweza kudhani alifariki kabla ya Nyerere

    Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
  18. N

    JamiiForums Tanzania Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

    😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
  19. jitombashisho

    JamiiForums Tanzania Magufuli Vs Samia

    Ni dakika ya ngapi ya mpambano mimi hata sifahamu.Lakini... Ni lazima mmoja baina yao mwisho wa siku atangazwe mshindi! Ni lazima mpambano uendelee kuwa wa wazi namna hii ili watoa hukumu waendelee kuwa na maksi sahihi kwa kila mmoja wao. Ni lazima Samia aongeze kasi ya kuupiga mwingi ili...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Mbunge Chaurembo ataka kupitiwa upya uamuzi wa Jiji la Dar kuvunjwa bila vikao vya madiwani

    Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani. Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali. Majibu ya naibu waziri...
Back
Top Bottom