meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Alichokifanya Diallo sio cha bahati mbaya kwani media zake ndio pekee zilizokuwa zinatumiwa na vyombo vya magharibi kama BBC na DW Kumchafua aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE
Kusema hajaeleweka vyema ni dhihaka tu bali wananchi tulimuelewa sana na aliichafua sana Serikali na CCM Kwa kiruhusu DW na BBC kumnanga Magufuli.
AWAJIBIKE AU AWAJIBISHWE