Mapendekezo
Member
- Jun 11, 2021
- 28
- 39
Salamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.