mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE 💪
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE 💪