TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Binafsi naomba niwe tofauti kuhusu suala la Magufuli kujengewa sanamu pale sabasaba.
Magufuli sasa hayupo hivyo hakuna wa kumsemea leo nimejaribu kuvaa viatu vyake ,naamini kama angekuwa hai hasingeafiki swala hili ingewataka wale waliotenga pesa za sanamu wazielekeze kwenye miradi ya kiuchumi ya kuwakomboa wananchi.
Namkumbuka Magufuli vizuri alikuwa sio mtu wa kupenda sana kujikweza bila shaka angependa kuona hawa viongozi wetu waache kumuenzi kwa njia ya sanamu badala yake wawe wazalendo ,wachapakazi na watangulize maslahi ya Taifa sio matumbo yao binafsi.
Binafsi naomba niwe tofauti kuhusu suala la Magufuli kujengewa sanamu pale sabasaba.
Magufuli sasa hayupo hivyo hakuna wa kumsemea leo nimejaribu kuvaa viatu vyake ,naamini kama angekuwa hai hasingeafiki swala hili ingewataka wale waliotenga pesa za sanamu wazielekeze kwenye miradi ya kiuchumi ya kuwakomboa wananchi.
Namkumbuka Magufuli vizuri alikuwa sio mtu wa kupenda sana kujikweza bila shaka angependa kuona hawa viongozi wetu waache kumuenzi kwa njia ya sanamu badala yake wawe wazalendo ,wachapakazi na watangulize maslahi ya Taifa sio matumbo yao binafsi.