Rais Magufuli amebadilka sana hasa katika siku za karibuni.Nimepata angalau wasaa wa kuangalia akishiriki shughuli mbalimbali na naona kuna unyenyekevu fulani ambao haukuwepo mwanzoni.
Namsikiliza akitambua uwepo wa viongozi wengine,nimemuangalia body language na tone akitamka "Mheshimiwa ...."...