VIDEO: Msanii mchekeshaji wa Kenya, Erick Omondi amuigiza Rais John Magufuli (How to be)

haaa lols nimependa last part.. Magufuli anaona bora apande baskeli kwenda Moro na sio Benzi...ili asave pesa lols
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Roho inawauma wakiona maguful anajulkana kwa mema adi nje ya nchi... hongera rais wangu, sasa najivunia kuwa mtanzania na kuwa na rais kama ww, rais wa kuigwa na marais wengine, watu wanataman rais wao awe magufuli au kama magufuli
 
Back
Top Bottom