mada

Mada is a term from both Hindu theology and Hindu mythology. It is one of the Arishadvargas.

View More On Wikipedia.org
  1. Execute

    JamiiForums Tanzania Huyu Mkwepu Jr ni nani? Anatoa likes kwenye mada na komenti za kila jukwaa

    Mbona kila komenti na kila jukwaa jamaa anagonga likes? Inawezekanaje mtu akawa amesambaa maeneo yote hayo?
  2. Stroke

    JamiiForums Tanzania Mada za kusisimua hapa JF ambazo ukizisoma unatamani zisiwe na ukomo

    Wakuu, Poleni na tozo na hivyo baada ya kupeana pole kwa maumivu hayo basi ni wakati muafaka kabisa wa sisi wana tozonia kushea pamoja mada moto moto zilizowahi kuwa posted hapa Jf mada ambazo zinasisimua mno, zina burudisha ,kuelemisha ,kutoa maonyo na miongozo. Tafadhali weka link yake hapa...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Mahari ifutwe?

    Habari! Hii mada imejadiliwa mara nyingi na sehemu nyingi. Je, mahari inayotolewa ili kijana aozeshwe ifutwe? Kama ifutwe toa sababu, kama uendelee toa sababu.
  4. Akili Unazo!

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu wa Nchi mbali anafuatilia na kuanzisha Mada JF ya nayoendelea Afrika Mashariki?

    Hivi kuna mtu wa Nchi hii anafuatilia na kuanzisha Mada JF ya nayoendelea Afrika Mashariki yanayohisiana na vita au heka heka ya kuagiza Yesu Africa? Au nikiumbelel na kumuhemuhe au ubwege wa kuwazu yanayotuhusu mfano rushwa, mahari kwa watoto wetu na kabira zetu na mila zetu, tozo za vocha...
  5. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya. UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI. Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
  6. Stroke

    JamiiForums Tanzania Wale tunaochangia kila mada

    Kwa hapa JF huwa kuna utaratibu wa members kuchangia mada inapowekwa hapa Jukwaani. Majukwaa yapo mengi ukiachana na yale ya kitaalam Kama Sheria , tech na maengine yapo majukwaa ambayo yanahitaji uelewa wa kawaida tu. i.e General Knowledge. Sasa kuna members ambao ni maarufu huchangia mada...
  7. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Hayati Magufuli

    Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli. Kongamano hilo litakalofanyika Ijumaa Machi 25, mwaka huu katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya...
  8. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Ni mada gani ya debate hata iweje lazima umshinde mpinzani wako?

    Kuna mada mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine ukikutana nayo mbele yako hakuna atakaye weza kukupindua. Ni mada gani? Nikiri kuwa 'mabishano/majibizano ya hoja' ni sanaa na katika sanaa hii kuna watu wanakipaji haswa katika hilo. Kuna watu hawezi kuwsshinda inapokuja jambo. Na kuna...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mada Maugo na Mabondia wa Urusi

    “Niliwahi kukataa pambano raundi ya kwanza huko Russia. Nilipigwa ngumi, nakinga mikono lakini nasikia ni kama chuma kimetua, naangukia kwenye kamba. Kocha wangu hataki kutupa taulo. Raundi imeisha anasema ingia ujitahidi, nikamuambia siingi, ukitaka ingia mwenyewe” -Mada Maugo Kumekuwa na...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Madarasa ya Uongozi yaliruka baadhi ya Mada?

    Na Thadei Ole Mushi Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo...
  11. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Mada maalumu kwa wahanga wa unyanyasaji wa kingono

    Swali Je kwanini idadi ya kesi za kulawitiana inaongezeka? Nini sababu inayowapelekea watu kulawitiana?
  12. R

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu matumizi ya maziwa ya madanga

    1. Nitajuaje kuwa maziwa yamekuwa safi tayari kunywewa na binadamu kwa ngombe aliyezaa? 2. Yana athali gani binadamu kunywa madanga? 3. Kwanini huwa yanamwagwa ukikamua?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mada za BBC na picha zao zina malengo gani?

    Natumia laini ya Voda, mara zote lazima ni Google kuingia kwenye mtandao fulani. Sasa, Mimi binafsi, huwa nakerwa na mtindo huu ambao BBC wameanzisha, nadhani kwa kushirikiana na Vodacom. Mada iliyohewani hivi sasa ni: "Nilijiuza Kimwili Kukidhi Kiu Yangu ya Mihadarati" imeambatana na picha ya...
  14. Ferruccio Lamborghini

    JamiiForums Tanzania MADA FIKIRISHI: Ingekuwa vipi kina Ertugrul wangezaliwa Tanzania?

    Angalia tamthilia za kituruki za Azam TV; tangu Sultan, Wounded Love na hata sasa Ertugrul utagundua kitu kimoja tu. Kwamba tamthilia hizi ni simulizi za historia ya nchi yao ya Uturuki. Kihistoria Uturuki ilikuwa sehemu ya himaya kubwa ya Ottoman ambayo ilianza mnamo karne ya 13. Himaya hii...
  15. katoto kazuri

    JamiiForums Tanzania Mada za mwaka huu na experience yangu humu wakati nipo single

    Humu mada nyingi nizakuachwa. Umri sio tatizoo tatizoo ni kuwa makini katika uchaguzi . Mke mwema huja mwenyewe asilimia kubwa tatizo hao mnawapuuzia mnaishia kupata wanawake ambao bila hela wewe sio kitu. Mwanamke anayekupenda niyule ambaye ukiishiwa anakujali hata kimawazo hakukimbii. Wakati...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Mada yenye ukakasi: Majini yanayoishi nasi hapa duniani yenye umbo la kibinadamu (Demons/fallen angels in human form)

    Hi guys Hapa duniani si kila binadamu unaemuona ni binadamu kweli, haya mambo nimeyafahamu baada ya mm kufanya research yangu mtandaoni, kwa kusoma shuhuda za walokole kama kina rachel mushala wa facebook, waliomtumikia shetani na baadae kuokoka, pamoja na kuchanganya akili zangu. Majini huwa...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mada maalum kwa wanandoa

    Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa...
Back
Top Bottom