“Niliwahi kukataa pambano raundi ya kwanza huko Russia. Nilipigwa ngumi, nakinga mikono lakini nasikia ni kama chuma kimetua, naangukia kwenye kamba. Kocha wangu hataki kutupa taulo. Raundi imeisha anasema ingia ujitahidi, nikamuambia siingi, ukitaka ingia mwenyewe” -Mada Maugo
Kumekuwa na baadhi ya shuhuda juu ya Mabondia wa Russia na Ukraine kutoka kwa baadhi ya mabondia wa hapa nyumbani kwamba ni mabondia hatari sana na hivyo waswahili wajiepushe na mapambano yao,Je,kuna ukweli kwenye haya?
Kumekuwa na baadhi ya shuhuda juu ya Mabondia wa Russia na Ukraine kutoka kwa baadhi ya mabondia wa hapa nyumbani kwamba ni mabondia hatari sana na hivyo waswahili wajiepushe na mapambano yao,Je,kuna ukweli kwenye haya?