maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Msigwa iambie Serikali yako na Vikundi vyake (Polisi na Mamuluki wao) tarehe 9 Dec ni Maandamano ya Uhakika, Wasithubutu hata Kuua Sisimizi!.

    Kwa Taarifa yenu, Tuliouliwa Ndugu zetu tumeshajipanga kuandamana. Mtangaze Curfew ya mapema, haitozuia lolote. Muanze kupiga Risasi mapema, haitazuia lolote . Maandamano yapo, No way Bwana Msigwa , rukaruka tu na Porojo zako ila MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YAKO PALEPALE. SASA , Onyo...
  2. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuna ambao wanajifanya maandamano ya kudai uhuru wa kiraia,kukataa ubadhirifu na mauaji hayawahusu, ndio hao haki ikipatikana wataanza tena kufurahia

    Huwa ipo hivyo , kwa sasa wanajifanya hayawahusu kwa sababu tangu uhuru hawajawahi iona tanganyika yenye uhuru wa kiraia , yenye uwajibishanaji, inayo heshimu haki na utu wa mtanganyika kwa vitendo na sio maneno. Tanganyika isiyo na rushwa wala viongozi kujilimbikizia mali na familia zao...
  3. KAYGREKO

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya amani+viongozi wa dini+diaspora

    MAANDAMANO YA AMANI + VIONGOZI WA DINI + DIASPORA Nianze na ukweli ambao wengi tutakubaliana. Afrika hatuna mazowea ya kuwa na maandamano ya amani. Na hata zile nchi zenye uzoefu wa maandamano ya amani, huanza kwa amani na mwishowe huzuka fujo. Kwa nchi yetu ya TZ, na hasa baada ya yaliyotokea...
  4. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya D9, yawe na Objectives chache strong

    Kuandamana bila objectives ni kupoteza muda. Tunaandamana ili tu-achieve nini?? Mambo gani tunataka yatekelezwe?? Nashauri, Gen Z tuset Malengo machache ambayo ndo sababu ya sisi kuingia barabarani kutaka yafanyiwe kazi na serikali au jamii. Ukiangalia lile bango la kuandamana Mo29, halikuwa...
  5. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hatuwezi dhibiti maandamano bila kumtosa Yona kwanza!

    Damu ya watz imeshamwagika na sio Siri tena!! Pua za watanzania zimeshanusa damu tayari na miili yao imekufa ganzi,ganzi ya kuwa tayari kwenda Kwa baba kama ndugu zao walivyoenda! Kuna watanzania Kwa Sasa wanasubiri TU parapanda ilie waende coz wameshakata tamaa ya kuishi baada ya maumivu Yale...
  6. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inavyowashawishi na kuwabugudhi bodaboda kuhusu maandamano, inawamiliki?

    Matamko yalianza mkoa kwa mkoa kuanzia na wakuu wa polisi mikoa kuwaita bodaboda na bajaji na kuanza kuwaonya kuhusu maandamano ya D9. Hao si watu huru? Hao si wajasiriamali? Hao si watu wazima? Mbona kuwatesa kwa kujifanya mnawashauri. Mmechangia kiasi gani kuboresha maisha yao? Hawana ndugu...
  7. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Pemba: Itakuwa ni ajabu Muislam akiunga mkono maaandamano ya tarehe 9 Disemba

    "Itakua ni ajabu muislam akawa anaunga mkono tarehe 9 eti watu wakaandamane eti wanadai haki" - amesema Sheikh Wasaa za Masheikh zinaendelea kuhusu haki na maandamano, ila wajue tu wasihusishe masuala ya dini na ubaguzi katika kudai haki. Sheikh unamkataza huyo muumini wa kiislamu kuandamana...
  8. Kizibo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maandamano ya 9D yamekaa kimtego sana

    Nimekaa nikatafakari, nikagundua haya maandamano ya 9D ni myego mkubwa sana kwa pande zote mbili, serikali na Gen Z wote. 1 Gen Z tusipoandamana kama tunavuohamasishana mitandaoni, au serikali ikifanikiwa kuzima au kuzuia hayo maandamano, maanake Gen Z tutakuwa tumepoteza pambano...
  9. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Mapendekeko: Namna sahihi ya kuwasherekhea mashujaa wote waliopeteza maisha Mo29

    Wakati tukiwa njiani kuindea D9 , nivyema tukawakumbuka mashujaa wote walioanguka kwa ajili ya Tanganyika kuanzia Siku ya 29.10.2025 nakuendelea. Binafsi nitapenda machache yafuatayo yafanyike kuwaenzi wenzetu na sisi wengine tulioko njiani kuwafuata huko waliko kuanzia Siku ya D9 nakuendelea...
  10. BIG THINKER

    JamiiForums Tanzania Kama tunajua sababu ya maandamano kwanini tuunde tume?

    Nianze kwa kucheka kidogo😊 Kama na wewe ni mtu wa kufikiri naamini hili swali umejiuliza pia Hii nchi hata mtoto wa miaka 10 ukimuuliza kwanini watu wameandamana tarehe tajwa atakuwa na majibu hata kama siyo ya kujitoshereza ila majibu atakuwanayo. Sasa kama tunajua kwanini vijana...
  11. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jumuiya ya taasisi za Kiislamu yawataka Waislamu kujitenga na maandamano ya Disemba 9, 2025. Vijana waaswa kukaa nyumbani na wazazi wao

    Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini zilizo chini ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) zimewataka vijana na wananchi kwa ujumla kutumia busara, utulivu na kufuata utaratibu wa kisheria wanapodai haki zao, huku zikisisitiza umuhimu wa kuepuka mikusanyiko isiyo rasmi hususan tarehe 9...
  12. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Nani kawapa Mamlaka Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Kung'amua Kama Maandamano ni Halali au Si Halali? Hiyo ni Kazi ya Mahakama hawapaswi kuingilia

    Mkuu wa majeshi anasema Tusiingize Jeshi kwenyemambo ya kisiasa, Wakati huo anayejiita Amiri Jeshi Mkuu ni Mwanasiasa Mkuu! Unasema Jeshi lisiingizwe kwenye siasa kabla na wakati wa uchaguzi, Ila baada ya uchaguzi una deploy wanajeshi kila kona ya nchi for what? Kulinda amani baada ya tukio la...
  13. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Masheikh wote ni kama wanaona Maandamano ni dhidi ya Uislamu na si dhidi ya utawala mbovu

    https://www.instagram.com/reel/DRRCZIBgsNx/?igsh=MXZvNWQwdHFlbGRyZg== https://www.instagram.com/reel/DRRQh0SDDUj/?igsh=MTdvanF1dTN1YWQ1aQ== ALLY KIBAO alikuwa Muislamu, lakini leo hawa waandamanaji ndio wanaotaka huu utekaji uishe, polisi wawajibishwe au watekaji wapatikane. Lakini hata...
  14. Common Folk

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maandamano huwa hayazimwi kwa vitisho vya aina yoyote ile, siyo jeshi wala dini!

    Naona walioko hapo juu mnaendelea kufanya kosa lile lile la kabla 29.10.2025. Kabla ya hayo maandamano mlitumia vyeo vyenu vya Uamiri Jeshi Mkuu, Ukuu wa Mikoa, U-IGP nk kuwatishia waandamanaji, kwamba wakiandamana watakiona cha moto. Mkaanzisha na kupitisha maandamano ya Polisi na Wanajeshi...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Naomba tuwapuuze baadhi ya waislamu na wakristo wanaotaka kutuharibia maandamano yetu ya Disemba 99

    Ndugu wana jamvi na hasa vijana kama mimi Gen Z. Najua CCM inafanya kila liwezalo kuzima moto wa Gen Z. Ndo maana unaona wanatumia baadhi ya waislamu na baadhi ya wakiristo wanaoweza kushawishika/kununulika kirahisi. Hawa watu hawajuhi kabisa sisi vijana magumu tunayopitia. Naomba ieleweke...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Wametoka kwenye vitisho wakaona havifui dafu kwenye maandamano sasa wamekuja na wimbi la mashekhe ubwabwa sasa hawa ndio waziie maandamano?

    Wametoka kwenye vitisho wakaona havifui dafu kwenye maandamano sasa wamekuja na wimbi la mashekhe ubwabwa sasa hawa ndio wazuie maandamano? Ndugu zetu wamekufa kama kuku October 29 alafu mnatuletea hawa mashekhe moto utawaka #D9
  17. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Heche amesema yale hayakuwa maandamano bali uharibifu uliojificha kwenye maandamano

    Wakuu naomba kupata ukweli, hii kauli imetolewa na Heche?
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kufuatia vitisho vya Masheikh Kwa TEC, Sasa kama ni Mbwai Wacha iwe Mbwai , Hatutaruhusu UHAI WA KIONGOZI DINI UKRISTO KUGUSWA, 9 Dec ni Maandamano

    Kuna Video inasambaa sana Kwa Kasi mtandaon, anaonekana MTU anayejiita Sheikh kwenye mkutano na Vyombo vya habari, AKIWATISHA MAASKOFU WA TEC. Sasa ni hivi, Mbinu yenu ya Kujaribu Kutisha Kanisa ili waingie kwenye huo upuuzi wenu wa MARIDHIANO, Umeshindwa. Hata mchochee Mpasuko wa KIDINI ili...
  19. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Maandamano wakati wa uchaguzi Oktoba 29 yalilenga kuharibu mali za Waislam tu halafu TEC wanataka amani, we cannot accept

    Wahadhiri wa Kiislam kwa pamoja wamesema Maandamano wakati wa uchaguzi yalilenga kuharibu mali za Waislam tu halafu TEC wanataka HAKI, we cannot accept this
  20. S

    JamiiForums Tanzania Kuwateua ndugu katikati ya sintofahamu kubwa hivi ni kuwapa watu sababu ya kuandamana

    Kwa akili za kawaida kabisa na kwa watu wenye akili timamu, kwa situation iliyopo sasa Tanzania, kuna mambo wala hayakupaswa yafanywe kabisa achilia mbali kuyafanya hata kisirisiri. Hivi kweli unawezaje kumpa UWAZIRI (naibu) mwanao ambaye tayari mumewe ni Waziri?? Mojawapo ya malalamiko ni...
Back
Top Bottom