maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mlalamikaji daily

    Kwamba maandamano yatakuwa ya amani Serikali haiwezi kukubali..lazima ichomeke wafanya vurugu ili ipate uhalali wa kuyatawanya

    Naona wengi wanasema eti yatakuwa ya Amani kwamba watashika mabango na kutembea tuuu mpaka ikulu bila kugusa mali ya mtu!! Aiseee.. Kwanza tuelewe : maandamano ya amani nchi hii yanayokubalika labda yawe kwa ajili ya kumpongeza mama! Mfano ile kampeni ya mama asemewe! Kinyume na hapo hakuna...
  2. Carlos The Jackal

    UVCCM na TISS mmepanga Maandamano yenu Dec 9 eeh, tunawakaribisha sana, Sisi kwetu Mbwai na Iwe Mbwai !! no way !!.

    Tunawakaribisha sanaaa kwenye MAANDAMANO ya Tuliouliwa Ndugu zetu, karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya sisi tunaowatafuta Maiti zetu, Karibuni sana kwenye MAANDAMANO ya Sisi ambao Maiti zetu zimechomwa na kuyeyushwaaaa hata zisionekane. Karibuni Sanaa sanaaaaa . Na sisi Maandalizi yetu...
  3. Genius Man

    Ile video ya mochwari sio AI hata kidogo tuache kujiaibisha na kutia watu hasira haya yote ni kwasababu tu ya madaraka samia ? huyu lazima aende jela

    Ile video ya mochwari sio AI hata kidogo tuache kujiaibisha na kutia watu hasira haya yote ni kwasababu tu ya madaraka samia ? huyu lazima aende jela alafu heti hawa wizara ya afya wameipost ile video sio AI kuipost ni kujiaibisha kimataifa ile video sio AI kabisa wanaendelea kujivua nguo...
  4. Its Pancho

    Mnawalaumu bure tu Bakwata na waislamu kwenye swala hili la zima la maandamano..

    I salute my kinsmen.. Ujue nimefikiria sana kuona kauli hizi za viongozi wa Bakwata kwa yanaoendelea kwa kumsapoti mkuu wa nchi wakati wenzao kule TEC wao wametoa tamko kali sana kuwa Vijana waliokamatwa waachiwe haraka, Hawajaisapoti serikali kwa namna yoyote ile TEC wamenyooka sana Ila sasa...
  5. mirindimo

    PICHA: Wauaji wa vijana kwenye maandamano wakijitapa mtandaoni

  6. Genius Man

    Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

    Habari wakuu, katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi 1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo. 2, Dawa na kama vidonge na vifaa...
  7. Z

    PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Sote ni mashahidi maandamano ya Oct 29 yamesababisha vifo vya raia wengi na police. Sote tuna majonzi. Kwann Bado activist wanataka tuandamane December 9 ilhali wanajua kwa vyovyote vile serikali haiwezi kupinduliwa kirahisi. Yaani mnataka kupindua serikali lakini kufa hamtaki. Kama mnataka...
  8. MALCOM LUMUMBA

    PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Kila machafuko huwa ni fursa kwa watu. Hilo la mikono ya watu nitalisema siku nyingine, ila kuhusu maandamano na vurugu niseme tu kwamba nimeyashuhudia yote tokea yanaanza siku za kwanza sijasimuliwa: Vijana wanapigwa risasi na kukimbizwa hospitali nimeona, Kufukuzwa na magari ya jeshi nimeona...
  9. Carlos The Jackal

    Samia alisema walouliwa ni watu wa Nje, Muliro akasema Walouliwa video ni AI. Hiyo Pole ya Kinafiki hautuitaki, Maandamano yako palepale

    Oyaaaaa kasimamisha Bunge Kwa kazi gani Sasa wakati walouliwa ni Watu wa Nje ?? Na video ni AI??. MIILI YA WAPENDWA WETU WALOULIWA IMETEKETEZWA !!.
  10. M

    Rais Samia tumekusikia ila maneno yako yameongeza hasira zaidi na msukumo wa maandamano

    Samia huna aibu ndio maana unaendelea kusema uongo kuwa watanzania tumekupa ridhaa, watanzania gani muongo mkubwa wewe, sisi hatukutaki, hakukuwa na uchaguzi, hakuna kura zilipigwa za kukuweka madarakani ndio maana nakuita Samia na si Rais Maneno yako ya pole yanatia hasira zaidi, wiki 2...
  11. M

    PostGE2025 Rais Samia atangaza msamaha kwa washtakiwa wa kesi ya uhaini, “hasa kwa walioingia kwa kufuata mkumbo“

    Rais Samia amesema kuna vijana ambao ulikuwa ukiwaangalia walikuwa wakionekana wakifuata mkumbo lakini hawakuwa wakielewa kile walichokuwa wanafanya. Hivyo ameagiza vyombo vya ulinzi vijana wote waliofanya makosa kwa kufuata mkumbo wafutiwe makosa yao. Rais Samia amenukuu mstari kutoka kwenye...
  12. The Burning Spear

    Mnaogopa Maandamano kisa Mnatakiwa kutoka kila siku ili mle kuweni na AIBU

    GT Kuna mambo yanashangaza sana lakini inaonekana hata waandishi wa habari wetu ni vichwa maji contents kama hizo wala siyo za kuweka public. Tafsiri ya wewe utoke kila siku ndiyo ule ni kwamba wewe siyo masikini tu bali kapuku kabisa. Hawa wanaosema hivyo wanatakiwa wawe mstari wa mbele kwenye...
  13. tonicimmobility

    PostGE2025 Serikali inasema waandamanaji sio watanzania, waandamanaji wanasema wanajeshi sio watanzania!

    Hivi mna uhakika kweli tupo Tanzania?
  14. DuaZaMama

    PostGE2025 Polisi wamkamata Mwanachama wa CHADEMA kwa tuhuma za “Kuhamasisha uhalifu kupitia kundi la WhatsApp”

    TAARIFA KWA UMMA Novemba 12,2025, Jeshi la Polisi lingependa kujulisha kuwa, lilimkamata na linaendelea kumshikilia Ambrose Leonce Dede, Mnyaruru, Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya African Safari na Mwanachama wa Chama cha Chadema kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu nchini kupitia kundi la...
  15. Mafyangula

    Njagi asema kukamatwa kwake kulipangwa, atoa wito wa maandamano ya Desemba 9 kuungana na Watanzania

    Mwanaharakati wa Kenya Bob Njagi amefichua kwamba kukamatwa kwake hivi karibuni nchini Uganda, pamoja na mwanaharakati mwenzake Nicholas Oyoo, kulipangwa kwa makusudi. Amesema walikamatwa muda mfupi baada ya kuegesha gari lao katika kituo cha mafuta kinachodaiwa kumilikiwa na Rais William Ruto...
  16. Mafyangula

    PostGE2025 Shekhe Mwapopo amcharukia Mange, adai amechochea maandamano na kusababisha mauwaji ya watu

    Shekhe Mwapopo ameamua kuvunja ukimya baada ya yote kutokea ameeleza chanzo cha haya yote mbali na hayo ametangaza vita kubwa na Mwanadada mange Kimambi kwa kusema anandaa jambo kubwa ambalo litahudhuriwa na watu wengi wakubwa wa ndani ya nchi na nje ya nchi ambapo pia amesema licha ya wageni...
  17. M

    Maandamano tarehe 09/12 Nguvu kubwa tuwekeze Dar, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha

    Wazalendo, Ukombozi wa nchi yetu unakaribia. Tulichokifanya tarehe 29/10/2025 hawatakuja kukisahau. Tulifanikiwa kuuzuia uchaguzi. Ilikuwa muhimu vijana kuwepo kila sehemu ili kuuzuia uchaguzi. Sasa tunahitaji kuchukua nchi. Inatakiwa nguvu kazi kubwa iwe maeneo muhimu na yenye impact kubwa...
  18. Common Folk

    PostGE2025 Jeshi la Polisi: Maandamano ni biashara na wachache ndiyo wanufaika

    Kupitia page ya Instagram ya Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa nasaha wakiwaasa wananchi kuepukana na maandamano kwani ni biashara ya wachache ambao ndiyo hunufaika zaidi, na wengi wa raia huumia zaidi kwa kupoteza kazi, biashara na madhara mengine mengi! "Maandamano ni biashara, wachache...
  19. The Father of All

    PostGE2025 Wanaobeza maandamano ya Desemba 9 wanarudia makosa haya

    Gen Z wa Tanzania walipotishia kuandamana kupinga uchafuzi ulioitwa uchaguzi, wengi, hasa machawa, waliwabeza wakijipa imani kuwa wasingeweza. Mbona waliweza. Hata haya maandamano yanayopangwa kufanyika siku ya kuadhimisha uhuru wa Tanganyika yatafanyika, na serikali haitafanya kitu. Mosi, Gen...
  20. T

    Maandamano ya D9-Tusidharau uwezo/nguvu za Gen-Z

    Katika maandamano yanayopangwa kufanyika tarehe 9 December 2025, nimeona watu wengi machawa wakiyabeza na kuendelea kutoa vitisho kama walivyofanya MO29. Lakini niseme vijana ni kundi kubwa sana na wanawaza faster na uwezo wao ni mkubwa kuliko makundi mengine. Nawahakikishia Gen-Z will bring...
Back
Top Bottom