Baadhi ya wanawake wameomba waomba maandamano ya Disemba 9 yasitishwe wakiohofia madhara yanayoweza kutokea. Wakilinganisha na yale yaliyotokea October 29 na baada ya hapo.
Wananchi hao wameeleza kuwa wanahofia biashara zao kusitishwa na hivyo kuwafanya kukosa chakula na mahitaji yao ya kila siku.
Nimeona polisi wakikamata watu kwa kosa la kuhamasisha maandamano. Nimeona Waziri wa Mapolisi wakikemea maandamano.
Watu hawa waieleze dunia maandamano ni kosa kwa sheria ipi? Halafu acheni kupotosha watu kwamba ni vurugu, hapana kinachopangwa kufanyika ni maandamano. Hizo vurugu mnazitoa wapi...
Maandamano hayazuiliki na yamekwisha fanikiwa kwa asilimia zote yatakuwa makubwa sana kuliko yoyote africa.
Lazima uchaguzi ufutwe , mateka waachiliwe, katiba mpya, wauwaji wafungwe minyororo kichwani miguuni na mikononi kila aliyehusika.
Hakuna mwenye nguvu kuliko wananchi!
Ninashangazwa na matamko ya baadhi ya viongozi wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhangaika kudhibiti Maandamano, Je, Hiyo ndiyo kazi yao kuamua kama maandamano ni sahihi au si sahihi? Serikali ambayo ndiyo inayolalamikiwa eti ndiyo inakuwa wa kwanza kupinga kulalamikiwa!
Vyombo vya...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka ameendelea na ziara yake maalum ya kukutana na kuzungumza na vijana katika Mkoa wa Ruvuma ambapo ameonya dhidi ya watendaji wa serikali wanaokwamisha shughuli za vijana kuwa hawatavumiliwa.
Akiwa wilayani Songea leo Ijumaa tarehe...
Nafikiri ni wakati sahihi wa kuunda mfuko maalumu wa kuchangia waathirika wa maandamano ya Oktoba 29 na. wale wote waliiothirika na matukio yote ya kikatili yaliyofuata baada ya hapo. Lengo likiwa ni kuwashika mikono ndugu, jamaa na wanafamilia wa walipoteza wapendwa wao.
Ukweli ni kwamba...
Waandamanaji na Chama cha upinzani wana uwawa sio kwasababu ni wahaini au wamechoma vitu kwasababu walitaka Samia aondoke madarakani.
Lissu yupo gerezani kwasababu samia asisumbuliwe, watu wamepigwa risasi si kwasababu wamechoma vitu kwenye maandamano kwasababu wanataka samia aondoke madarakani...
leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM wameandaa waandishi wa habari, viongozi kila kanda kuratibu vijana...
Kwa tafiti yangu ndogo wananchi wanaitamani mabadiliko na wanaona tija ya maandamano ila wanahofia gharama zake kiuchumi na kuwaza kuwa nchi inaweza kuwekwa lockdown Kwa muda mrefu hivyo kuathiri Uzalishaji na upatikanaji wa riziki
Na hii ndiyo silaha ya mafisadi na wahuni, wanajua Watanganyika...
Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili.
Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu?
===
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Kama watawala walijua labda wakipiga risasi na kuuwa watu eti watanganyika watapata wogo,basi walishindwa kusoma nyakati za tawala zote kandamizi zilizotangulia kama wao,yaani hii mbegu inayochipuwa kwa kasi sana.
Hawataweza kuizuia kamwe na inaenda kuwaacha uchi kama walikuwa wanapambana na...
Moja kwa moja..
Kumekuwa na hoja miongoni mwa watu kuwa viongozi wa dini wa Kiislamu hawatetei haki wapo nyuma katika yale yanayoendelea nchini au wamepewa posho . Sasa nataka nichambue na tujadiliane wote kistaarabu kutokana na uelewa wangu wa kidini na kiulimwengu kutoka na hoja hizo...
Wakuu,
Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?"
Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za...
Maandamano yoyote ambayo polisi hawakutoa Ulinzi hayawi ya amani kwa sababu kuna watu wenye akili tofauti wanaoweza kufanya uhalifu.
Ili hawa watu wahalifu wanaojificha kwenye kivuli cha maandamano wasifanye uhalifu ndio maana sasa POLISI HUTAKIWA KUTOA ULINZI KWA WAANDAMANAJI.
Kusisitiza peke...
Mshajua mmeyakanyaga mwajikosha! Hehee! Sasa zile maiti mtazirudisha lini? Polepole na yule mudude mtamludisha lini?. Nye Nye wabaya sana. Walahi mtalipia.
Mwafikiri siye manyumbu wenyu. Na bado! Mwataka kunywa damu zetu. Na bado. Nye mwajua kuzaa siye wetu mwaua. Wetu nzi wenyu watoto wa...
Awareness ya kwamba kuna maandamano D9 ni kubwa kwa 99% mtaani. Hata kama raia hawatatoka barabarani hiyo inatosha kukuambia kwamba kuna mambo hayajakaa sawa ndani ya nchi.
Sababu zilizofanya hawa Gen Z wakaandamana O29 bado haijatatuliwa hata moja, sana sana ndiyo wamezidi kumwagia petroli...
Kwa Taarifa yenu, Tuliouliwa Ndugu zetu tumeshajipanga kuandamana.
Mtangaze Curfew ya mapema, haitozuia lolote.
Muanze kupiga Risasi mapema, haitazuia lolote .
Maandamano yapo, No way Bwana Msigwa , rukaruka tu na Porojo zako ila MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YAKO PALEPALE.
SASA , Onyo...
Huwa ipo hivyo , kwa sasa wanajifanya hayawahusu kwa sababu tangu uhuru hawajawahi iona tanganyika yenye uhuru wa kiraia , yenye uwajibishanaji, inayo heshimu haki na utu wa mtanganyika kwa vitendo na sio maneno.
Tanganyika isiyo na rushwa wala viongozi kujilimbikizia mali na familia zao...
MAANDAMANO YA AMANI + VIONGOZI WA DINI + DIASPORA
Nianze na ukweli ambao wengi tutakubaliana. Afrika hatuna mazowea ya kuwa na maandamano ya amani. Na hata zile nchi zenye uzoefu wa maandamano ya amani, huanza kwa amani na mwishowe huzuka fujo. Kwa nchi yetu ya TZ, na hasa baada ya yaliyotokea...
Kuandamana bila objectives ni kupoteza muda.
Tunaandamana ili tu-achieve nini??
Mambo gani tunataka yatekelezwe??
Nashauri, Gen Z tuset Malengo machache ambayo ndo sababu ya sisi kuingia barabarani kutaka yafanyiwe kazi na serikali au jamii.
Ukiangalia lile bango la kuandamana Mo29, halikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.