maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    PostGE2025 Baadhi ya wanachi waomba maandamano ya Disemba 9 yasitishwe wakiohofia madhara yanayoweza kutokea

    Baadhi ya wanawake wameomba waomba maandamano ya Disemba 9 yasitishwe wakiohofia madhara yanayoweza kutokea. Wakilinganisha na yale yaliyotokea October 29 na baada ya hapo. Wananchi hao wameeleza kuwa wanahofia biashara zao kusitishwa na hivyo kuwafanya kukosa chakula na mahitaji yao ya kila siku.
  2. Kipenzi Changu

    PostGE2025 Maandamano na kuhamasisha maandamano ni kosa kisheria?

    Nimeona polisi wakikamata watu kwa kosa la kuhamasisha maandamano. Nimeona Waziri wa Mapolisi wakikemea maandamano. Watu hawa waieleze dunia maandamano ni kosa kwa sheria ipi? Halafu acheni kupotosha watu kwamba ni vurugu, hapana kinachopangwa kufanyika ni maandamano. Hizo vurugu mnazitoa wapi...
  3. Genius Man

    PostGE2025 Maandamano hayazuiliki na yamekwisha fanikiwa kwa asilimia zote yatakuwa makubwa sana kuliko yoyote Africa

    Maandamano hayazuiliki na yamekwisha fanikiwa kwa asilimia zote yatakuwa makubwa sana kuliko yoyote africa. Lazima uchaguzi ufutwe , mateka waachiliwe, katiba mpya, wauwaji wafungwe minyororo kichwani miguuni na mikononi kila aliyehusika. Hakuna mwenye nguvu kuliko wananchi!
  4. Abraham Lincolnn

    PostGE2025 Chombo pekee kinachopaswa kutamka maandamano tar 9 Dec ni halali/si halali ni Mahakama, Vyombo vya Ulinzi/Usalama kazi yenu ni usalama bila kupendelea

    Ninashangazwa na matamko ya baadhi ya viongozi wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhangaika kudhibiti Maandamano, Je, Hiyo ndiyo kazi yao kuamua kama maandamano ni sahihi au si sahihi? Serikali ambayo ndiyo inayolalamikiwa eti ndiyo inakuwa wa kwanza kupinga kulalamikiwa! Vyombo vya...
  5. ChekoFagia

    Kijana: Viongozi ndio chanzo cha vijana kufanya maandamano

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka ameendelea na ziara yake maalum ya kukutana na kuzungumza na vijana katika Mkoa wa Ruvuma ambapo ameonya dhidi ya watendaji wa serikali wanaokwamisha shughuli za vijana kuwa hawatavumiliwa. Akiwa wilayani Songea leo Ijumaa tarehe...
  6. S

    Wazo: Uanzishwe mfuko wa kuchangia waathirika wa maandamano na wa vitendo vya kikatili vya dola la CCM na mfuko huo usimamiwe na UN

    Nafikiri ni wakati sahihi wa kuunda mfuko maalumu wa kuchangia waathirika wa maandamano ya Oktoba 29 na. wale wote waliiothirika na matukio yote ya kikatili yaliyofuata baada ya hapo. Lengo likiwa ni kuwashika mikono ndugu, jamaa na wanafamilia wa walipoteza wapendwa wao. Ukweli ni kwamba...
  7. Genius Man

    PostGE2025 Waandamanaji na Chama cha upinzani wana uwawa sio kwasababu ni wahaini au wamechoma vitu kwasababu walitaka Samia aondoke madarakani

    Waandamanaji na Chama cha upinzani wana uwawa sio kwasababu ni wahaini au wamechoma vitu kwasababu walitaka Samia aondoke madarakani. Lissu yupo gerezani kwasababu samia asisumbuliwe, watu wamepigwa risasi si kwasababu wamechoma vitu kwenye maandamano kwasababu wanataka samia aondoke madarakani...
  8. toriyama

    PostGE2025 Imeandaliwa Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano Oktoba 29

    leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM wameandaa waandishi wa habari, viongozi kila kanda kuratibu vijana...
  9. ngara23

    PostGE2025 Nini kifanyike ili maandamano ya D9 yasimwathiri mwananchi wa kawaida hasa kiuchumi

    Kwa tafiti yangu ndogo wananchi wanaitamani mabadiliko na wanaona tija ya maandamano ila wanahofia gharama zake kiuchumi na kuwaza kuwa nchi inaweza kuwekwa lockdown Kwa muda mrefu hivyo kuathiri Uzalishaji na upatikanaji wa riziki Na hii ndiyo silaha ya mafisadi na wahuni, wanajua Watanganyika...
  10. W

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu ahoji maandamano ya Oktoba. Maandamano gani watu walikuwa well armed?

    Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili. Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu? === Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
  11. M

    Kama watawala walijua wanaua mbegu ya ukombozi na kuizika basi ndiyo inachipua kwa kasi

    Kama watawala walijua labda wakipiga risasi na kuuwa watu eti watanganyika watapata wogo,basi walishindwa kusoma nyakati za tawala zote kandamizi zilizotangulia kama wao,yaani hii mbegu inayochipuwa kwa kasi sana. Hawataweza kuizuia kamwe na inaenda kuwaacha uchi kama walikuwa wanapambana na...
  12. adriz

    PostGE2025 Uchambuzi: Je, MaSheikh wapo sawa kutounga mkono maandamano kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu?

    Moja kwa moja.. Kumekuwa na hoja miongoni mwa watu kuwa viongozi wa dini wa Kiislamu hawatetei haki wapo nyuma katika yale yanayoendelea nchini au wamepewa posho . Sasa nataka nichambue na tujadiliane wote kistaarabu kutokana na uelewa wangu wa kidini na kiulimwengu kutoka na hoja hizo...
  13. Cute Wife

    PostGE2025 Mtangazaji Clouds TV: Pongezi za Msigwa kwa Waandishi hazinihusu, tuache unafiki!

    Wakuu, Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?" Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za...
  14. safuher

    Hayawezi kuwa maandamao ya Amani, kama Polisi hawatotoa Ulinzi

    Maandamano yoyote ambayo polisi hawakutoa Ulinzi hayawi ya amani kwa sababu kuna watu wenye akili tofauti wanaoweza kufanya uhalifu. Ili hawa watu wahalifu wanaojificha kwenye kivuli cha maandamano wasifanye uhalifu ndio maana sasa POLISI HUTAKIWA KUTOA ULINZI KWA WAANDAMANAJI. Kusisitiza peke...
  15. October 2pm

    Fungueni makanisa Maandamano yapo palepale. Bado siku 16 sunami ya D9

    Mshajua mmeyakanyaga mwajikosha! Hehee! Sasa zile maiti mtazirudisha lini? Polepole na yule mudude mtamludisha lini?. Nye Nye wabaya sana. Walahi mtalipia. Mwafikiri siye manyumbu wenyu. Na bado! Mwataka kunywa damu zetu. Na bado. Nye mwajua kuzaa siye wetu mwaua. Wetu nzi wenyu watoto wa...
  16. Common Folk

    Kama nilivyosema kwa yale ya mwanzo, maandamano ya D9 nayo yameshafanikiwa kwa 99%, hata kama watu hawatatoka barabarani

    Awareness ya kwamba kuna maandamano D9 ni kubwa kwa 99% mtaani. Hata kama raia hawatatoka barabarani hiyo inatosha kukuambia kwamba kuna mambo hayajakaa sawa ndani ya nchi. Sababu zilizofanya hawa Gen Z wakaandamana O29 bado haijatatuliwa hata moja, sana sana ndiyo wamezidi kumwagia petroli...
  17. Carlos The Jackal

    Msigwa iambie Serikali yako na Vikundi vyake (Polisi na Mamuluki wao) tarehe 9 Dec ni Maandamano ya Uhakika, Wasithubutu hata Kuua Sisimizi!.

    Kwa Taarifa yenu, Tuliouliwa Ndugu zetu tumeshajipanga kuandamana. Mtangaze Curfew ya mapema, haitozuia lolote. Muanze kupiga Risasi mapema, haitazuia lolote . Maandamano yapo, No way Bwana Msigwa , rukaruka tu na Porojo zako ila MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YAKO PALEPALE. SASA , Onyo...
  18. C

    PostGE2025 Kuna ambao wanajifanya maandamano ya kudai uhuru wa kiraia,kukataa ubadhirifu na mauaji hayawahusu, ndio hao haki ikipatikana wataanza tena kufurahia

    Huwa ipo hivyo , kwa sasa wanajifanya hayawahusu kwa sababu tangu uhuru hawajawahi iona tanganyika yenye uhuru wa kiraia , yenye uwajibishanaji, inayo heshimu haki na utu wa mtanganyika kwa vitendo na sio maneno. Tanganyika isiyo na rushwa wala viongozi kujilimbikizia mali na familia zao...
  19. KAYGREKO

    Maandamano ya amani+viongozi wa dini+diaspora

    MAANDAMANO YA AMANI + VIONGOZI WA DINI + DIASPORA Nianze na ukweli ambao wengi tutakubaliana. Afrika hatuna mazowea ya kuwa na maandamano ya amani. Na hata zile nchi zenye uzoefu wa maandamano ya amani, huanza kwa amani na mwishowe huzuka fujo. Kwa nchi yetu ya TZ, na hasa baada ya yaliyotokea...
  20. Kizibo

    Maandamano ya D9, yawe na Objectives chache strong

    Kuandamana bila objectives ni kupoteza muda. Tunaandamana ili tu-achieve nini?? Mambo gani tunataka yatekelezwe?? Nashauri, Gen Z tuset Malengo machache ambayo ndo sababu ya sisi kuingia barabarani kutaka yafanyiwe kazi na serikali au jamii. Ukiangalia lile bango la kuandamana Mo29, halikuwa...
Back
Top Bottom