Ukiskiliza vizuri wakuu wa polisi nchini unapata kichefuchefu. Kila siku wanawahadaa Watanzania kuwa kuna amani na usalama na mshikamano na upuuzi mwingine.
Nini zaidi ya uhuni na upuuzi wa kutumiwa na CCM na mitandao yake ya majambazi?
GT
Naomba mnijuze huu wimbo una maana gani?
Unaitwa 'Velvet Horizons'
Ni wimbo mzuri sana umetoka mwaka huu 2025 naupenda ila nimeshindwa kujua maana yake,kila nikisoma maana ya maneno hayo mawili niunganishe sipati maana halisi.
Pia nimejaribu kutafuta Lyrics zake sizipati,kama unajua mahali...
Ccm oyeee!!!!!!!
Wakuu, last weekend nilikua na jamaa zangu tukapiga vyupa mpaka mida mibovu. Nikarudi home salama wife akanifungulia mlango fresh me nikaoga then nikachapa mbonji mpaka kesho yake saa 6 mchana hata church sikwenda siku hiyo.
Sasa kesho yake nikiwa niko zangu chumbani nakula...
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.
Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa mengine.
Hii tabu, mateso, jasho na damu kwa sisi watu weusi sio vya kawaida , nawaambia wakuu sio kawaida.
Kila kitu cha hadhi ya duni lazima namba moja iwe afrika, upumbavu, ujinga, kuoneana, magonjwa
Naomba kuwajulisha haya machache yatawasanua!
Ile harassment ya wafuasi wa CHADEMA, jana (Septemba 15, 2025) ilikuwa kimkakati na ilipangwa kabisa ili kutaftia njia ya kuwashambulia kama ujumbe wa kutisha wanaopanga kuandamana!
Ile haikutokea bahati mbaya, Ilipangwa kabisa ili wajae kwenye...
Charlie Kirk ni nani?
Charlie Kirk (alizaliwa tarehe 14 Oktoba 1993 – alifariki tarehe 10 Septemba 2025) alikuwa mwanaharakati wa kisiasa kutoka Marekani, mwandishi, na mtangazaji wa vyombo vya habari vya kihafidhina (conservative).
Alianzisha shirika la Turning Point USA mwaka 2012...
Natamani sana sasa CCM tuanze Rasmi Kampeni. Maana naona bado tunatest mitambo. Kumepoa sana huko Tanzania na kwenye mitandao.
Chauma wametulia nadhani wanajipanga namna ya kuanza Kampeni maana nao ni muda sana toka kipindi kile wanazunguka zunguka kutafuta wanachama.
ACT Zitto Kabwela...
Siku ya pili niko hapa mpanda.
Huu mji umepoa kichizi sana,hakuna viwanja vya maana vya kujirusha.
Sehemu pekee ni Kingstone na B'eps,na penyewe hakuna jipya.
Kwa wenyeji wa hapa naomba mnipe machimbo nitakayoweza kupata pisi za kusuuza rungu langu.
Habari za Sabato!
Mbinu rahisi ya kuwafanya watu watumwa ni kuwafanya waone Uhuru wa wengine hauwahusu. Kuona kuonewa kwa wengine ni juu yao, ilimradi wao wapo salama basi, wengine wakionewa haiwahusu. Hiyo inaitwa Divide and Rule technique.
Hakuna jamii rahisi kuitawala na kuifanya watumwa...
Habarini jamani!!!! Mwendo ni ule ule Oktoba hakuna uchaguzi utayeyuka shwaaaa baada ya mauza uza apo mwezi kati😃
Jana nilileta uzi kumhusu shemeji yangu mwenye dalili za kishoga ambazo amekuwa akizionesha mitandaoni hasa Tiktok yy amekuwa akisingizia ni mbinu za kuongeza followers lkn ikanitia...
Za saizi wajumbe?
Nilikua safari kama week moja hivi sikua nyumbani.
Sasa leo nimerudi, mpangaji mwenzengu ambae ni mke mtu aliponiona akaniambia "Waooo, Kyanyangwe nilikumiss sana "
Sasa wakuu, mke wa mtu kukuambia kakumiss ina maana gani haswa?
Sina mia mbaya na wagombea ila Nina waswas yakuwa Wagombea wa VITI vya uraisi nchini Tanzania ni Masster na Mapdri walio zaa nje ya ndoa.
Nataka niwakukumbushe nyie vijana wa 2000 Kuna mtu aliitwa Proffesa lipumba aliwai gombea uraisi na kuwekewa pingamizi na chama Cha mapinduzi yakuwa wanaisi...
Mashekh wetu wao wana Mchango gani kuhusu nchi yetu.?
Ni nadra Sana umkute Shekh anapambania mambo ya msingi ya nchi .
Inawezekana Mashek ni rahisi kutekwa na wanasiasa. hii inaweza kuchangiwa na elimu ndogo ya kuuelewa ulimwengu.
Hawa jamaa wamejua kwamba mara baada tu ya uchaguzi, nchi za magharibi,Jumuiya na taasisi za kimataifa hazitautambua uchaguzi huo na hazitaitambua serikali hivyo itakosa legitimacy.
Kwa kufanya hivyo hawatatoa fedha yoyote kwa serikali iliyopoteza legitimacy. Hivyo serikali ya Tanzania hasa ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.