TISS ilitakiwa kuwa usajili wa wazi ili kuondoa haya mambo yenu maana weledi hakuna

TISS ilitakiwa kuwa usajili wa wazi ili kuondoa haya mambo yenu maana weledi hakuna

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,921
Reaction score
35,548
Yale mambo sijui nyerere aliweza kufanya kwa kificho kuweka usalama wa taifa anaotaka kwa sasa yamepitwa na wakati ndio matekeo ya leo yani hata magaidi yalivyoingia mkuranga wao walikuwa wapo wapo tu.

Kinacho waogopesha ni nini hii idara ikawa wazi kila mwenye taalamu anaweza kujiunga na nyie mkaweza kujua history yake alipotokea na sifa zake.
 
Yale mambo sijui nyerere aliweza kufanya kwa kificho kuweka usalama wa taifa anaotaka kwa sasa yamepitwa na wakati ndio matekeo ya leo yani hata magaidi yalivyoingia mkuranga wao walikuwa wapo wapo tu.

Kinacho waogopesha ni nini hii idara ikawa wazi kila mwenye taalamu anaweza kujiunga na nyie mkaweza kujua history yake alipotokea na sifa zake.
HIyo spy organization inatakiwa ifanyiwe reform na yenyewe
 
Hao tiss wanakuzwa bure kumbe, wanakula mishahara(kodi) ya bure hamna wanachofanya zaidi ya kuirudisha nchi nyuma.
 
Back
Top Bottom