Inaanzia nikiwa eneo ninalifahamu nikaenda kunywa supu anaye pika supu namfahamu ni kweli anauzaga supu na huwa nakunywa mara kadhaa asubuhi nikiwa kazini.
Sasa nilipofika kwenye sufuria ya supu tulikuwa watu kama 3 hivi wenzangu wakachota na kuanza kunywa ila mm kila nikichota ile supu ilikuwa...
Shikamooni wote.
Jamani uswahilini mbona kuna mambo ya ajabu hivi?!!
Jana nilikua kwa Muha wangu na mojawapo ya vitu nilifanya pale kwake ni kufua wakati yeye yuko kazini.
Kwa vile nyumba ina watu wengi nilipoanika pichu zangu na boxer za Muha wangu nilizifunika kwa kanga mana kwangu ni aibu...
Zingatia hii, mwili wa binadamu unaweza kuonesha ishara mbalimbali katika kufikisha ujumbe pasipo kutumia maneno kabisa.
FBI au polisi wapelelezi wanafanikiwa kuwabaini watuhumiwa wa makosa mbalimbali kwa urahisi zaidi kwasababu ya ishara wanazozionesha wakati wakihojiwa.
Zifahamu ishara...
Nisijifanye mjanja halafu nikaishia kuumbuka! Wazoefu mnisaidie tafadhali!
Ikiwa unataka kufanya booking ya ticket ya ndege, ukikutana na neno SELF TRANSFER linamaanisha nini?
Ni kama inavyosomeka hapo chini.
Asanteni!!!
salamu wakuu, mbona jamaa yetu wa mawinguni hajagusa chochote kuhusu habari inayoshika nafasi kubwa hivi sasa ya bwana Polepole,
nini shida? anaogopa? au anaona akippst, hatopiga picha na rais.?
Atazunguka zunguka tu kutaja mchakato wa mgombea wa Urais na mchakato wake but hawezi kugusa mambo mengine.
Mambo mengi ya hovyo ya kipindi hichi ni reflection ya kipindi cha Magufuli ambacho Polepole alikuwa mezani akila pamoja na Rais Magufuli.
Hazungumzii jinsi wapinzani wanavyonyimwa haki...
Mpo Salama!
Taifa lolote la Maana, ndoto ya watu ni lile linalojengwa katika Misingi Mikuu miitatu;
1. Utawala Bora na Sheria (Good Governance and Rule of Law)
Huu ni kama msingi wa nyumba. Bila utawala bora hakuna amani, hakuna haki, hakuna maendeleo. Sheria hutuliza, huongoza, na hutoa...
Amefanya maamuzi ya maana sana kujiuzulu lakini kati ya watu mapepe wa kuogopa ni polepole. Alijiona Mungu mtu wakati wa Magu na kunyanyasa watu sana.
Alitaka nankuchangia kudumiza democracy sana na ndiyo amechangia sana kwa matatizo tuliyonayo.
Leo kaokoka na amekuwa mpenda haki za...
The war between Russia and Ukraine is rooted in a complex interplay of historical, political, and geopolitical factors. Key causes include:
1. Russia's desire for a sphere of influence:
Russia seeks to regain control of Ukraine and prevent its integration into Western institutions, which it...
artificial intelligence
artificial intelligence (ai)
halisi
haya
hii
intelligence
ipi
kale
kati
kijeshi
maana
majibu
russia
sababu
ukraine
vita
wahenga
Balozi Polepole kaonyesha kivitendo maana halisi ya Demokrasia.
Hakutaka kuwa mtu mnafiki, kucheka usoni lakini hukubaliani na yanayotokea hadharani kisiasa.
Kaonyesha kuwa UCHAWA NI DHAMBI ya nafsi.
Kujiuzulu kwake Polepole kutamjengea heshima in the long run.
Bila kuonyesha sababu zake za...
Heshima kwenu wakubwa zetu Smart911 na Mahondaw
Mimi Kijana Masikini na Mpenzi wangu Marry Diana tunaomba mtupe siri ya mafanikio juu ya kudumu kwenu kwa muda mrefu kwenye Mapenzi.
Tunajuwa nyinyi sio waongeaji sana lakini tunaomba madini ya kutosha kutoka kwenu.
Tunatanguliza shukrani...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais anayeshughulikia Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema vyombo vya habari nchini havipaswi kuwa neutral (kutokuwa na upande), bali viwe objective yaani kuwa na misimamo yenye msingi wa ukweli na uchambuzi makini.
Amesema hayo Julai 8, 2025 jijini Dar es...
Chale za wanga ni aina ya mihuri ambayo huwa anawekwa mtu usoni na wachawi. ukishawekwa mihuri hiyo huwa ni ngumu kutibika na huishia kuumwa mpaka uifute mihuri hiyo ambayo ni alama ndogo sana na hujulikana nakuonekana kwa wenye ujuzi.
Mtu kwenda kwa mtaalam na kuchanjwa chale ni ishara ya...
Kila siku mtu ukiingia ajira portal ajira zilizopo ni za madereva, waendesha office,watendaji wa vijiji,walimu na wasaidizi wa kumbukumbu pekee,halafu waajiri ni halmashauri.
Ebu tangazeni ajira za maana kutoka taasisi za maana pia.
Hata kama Ruto ataondoka ajae atafanya nn kuboresha maisha yao? Wanabomoa hata kile kilichopatokana kwashida kwa Kodi zao, ndio Martha Karua anataka kutufundisha hivi tuwe kama wao?
https://youtu.be/GF2phAJ9_4o?si=tucl1UWNHZzqXZj7
https://youtu.be/fJ5USRBsM-Y?si=2McBkDNFYy6HF8hx
Hapo vip!!kwa uhalisia uliopo nikwamba viumbe kama majini,mapepo,mashetani,n.k wapo busy sana kufuatilia na kuharibu maisha ya mwanadamu kwa kushirikiana na wachawi na kwa tafsiri hii inaonyesha hivi viumbe vimekaaa kakaa tu huko pasipo na kazi ya kufanya kama mwanadamu,kwa ujumla ni viumbe vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.