Wakuu salaam, tunaendelea na mada kuu ya aina za maneno katika lugha. Katika uzi huu tutafafanua dhana ya Vielezi na aina zake. Twende pamoja:
VIELEZI
Vielezi ni maneno yanayotumika kufafanua kitenzi, kivumishi au kielezi kingine. Au pia, ni maneno yanayosifu au kufasili sura za vitenzi...