maalim seif

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ACT Wazalendo

    Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

    Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja. Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.
  2. ACT Wazalendo

    GE2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

    Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...
  3. Mystery

    GE2020 Je, CHADEMA itamuunga mkono Maalim Seif kule Zanzibar na Membe atamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais huku Bara?

    Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao. Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano...
  4. Relief Mirzska

    Ushauri kwa chama cha ACT- Wazalendo na Maalim Seif Shariff Hamad

    Salaam kwenu wakuu, Mimi sijihusishi na siasa za Tanzania kidhati ya moyo, nimekuwa ni mfuatiliaji tu wa namna mambo yanavyokwenda/yanavyoendeshwa ndani ya nchi yetu. Niliwahi kuwa mwanachama wa CUF Habari mwanzoni mwa miaka ya 2010 na kadi yangu nilipewa na Julius Mtatiro, hata hivyo nilihamia...
  5. puza46b

    Zitto anajua nini anafanya

    ZITTO ANAJUA NINI ANAFANYA. Mbowe alipompeleka Lowasa CHADEMA (inasadikika kidikteta) alisema wamebadilisha gia angani. Mbowe alikuwa anaamini Lowasa atashinda uchaguzi, alitegemea kuwa ile mitandao ya Lowasa italinda kura na CHADEMA kitashika madaraka. Baada ya matokeo ya uchaguzi (inasadikika...
  6. T

    Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha mchakato wa kupata mgombea wake wa urais kwa upande wa Zanzibar. Ni Hussen Ali Hassan Mwinyi. Mwanasiasa mtulivu, mkimya na asiyependa kujikweza. Zipo tetesi kuwa ukimya wa Hussein Mwinyi, unavuka mipaka ya kawaida. Hata kwenye vikao vya Baraza la...
  7. Deogratias Mutungi

    Fungu gani nimuweke Maalim Seif ahesabike?

    FUNGU GANI NIMUWEKE MAALIM SEIF AHESABIKE? Na, Deogratias Mutungi Kisiasa unaweza kusema hizi ni nyakati za jioni na hivyo giza linaanza kuingia na ni vema kuanza kujiandaa kurejea majumbani tayari kwa kusubiri siku nyingine, Huu ndio ukweli ambao upo wazi kuwa Bwana Maalif Seif Shariff Hamad...
  8. Roving Journalist

    Maalim Seif achukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo

    Maalim Seif akabidhiwa fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha ACT Wazalendo kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kakabidhiwa fomu hizo na Katibu Mkuu wa Chama, Ndugu Ado Shaibu katika Ofisi Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo iliopo Vuga, Zanzibar. Maalim Seif...
  9. Troll JF

    Maalim Seif Sharif Hamad at 77th year anatafuta nini kwenye Siasa?

    Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan? Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika...
  10. M

    GE2020 Wakati umefika Maalim Seif agombee Urais wa JMT siyo Zanzibar

    habari ndugu zangu wana JamiiForums. Nionavyo Mimi Maalim Seif ajaribu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu hizi 1: Amegombea Zanzibar kwa takribani miongo mitatu bila mafanikio hivyo ajaribu na JMT 2: Maalim Seif ni mwanasiasa makini hivyo akigombea JMT na akashinda Tanzania nzima...
  11. Erythrocyte

    Kumekucha: Maalim Seif kuunguruma Zanzibar, ni kwenye ukumbi wa kisasa wa Hotel Verde, nchi kutikisika

    Wote mnakaribishwa .
  12. aleesha

    Uchambuzi Urais Zanzibar 2020: Nafasi ya Maalim Seif Sharif Hamad

    Historia ya siasa za Zanzibar haiwezi kuandikwa ikakamilika bila kulitaja jina la Seif Sharif Hamad. Maalim ni mtu mmoja mwenye sehemu kubwa katika historia hiyo na kamwe hapuuziki. Maalim alizaliwa tarehe 22 Oktoba mwaka 1943 huko Mtambwe Nyali kisiwani Pemba. Yeye ni mtoto wa pekee kwa mama...
  13. Influenza

    GE2020 Vyama vya Siasa 12 vyamtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kumchukulia hatua Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif wakidai ametoa kauli za uchochoezi

    VYAMA vya Siasa 12 vimeitaka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumchukulia hatua kali za kisheria Mwenyekiti wa chama cha ACT wAZALENDO, Maalim Seif Sharif Hamadi kwa kutoa kauli za kichochezi ambazo anaenda kinyume na kanuni na sheria za vyama vya siasa nchini Pia, wamesema kiongozi huo...
  14. Zitto

    Maalim Seif Sharrif Hamad Welcomes G20 Decision On Debt Relief: Now Is The Time For Accountability Mechanisms To Be Developed And Enforced

    MAALIM SEIF SHARIF HAMAD WELCOMES G20 DECISION ON DEBT RELIEF: NOW IS THE TIME FOR ACCOUNTABILITY MECHANISMS TO BE DEVELOPED AND ENFORCED Statement by Maalim Seif Sharif Hamad, Chairperson of ACT-Wazalendo I welcome the decision of the G20 countries made on 15 April 2020 to suspend debt...
  15. W

    Maalim Seif: Lowassa amerudi CCM kwa shinikizo la familia na Chadema kutotendea vyema

    Ndugu zangu, Karma inafanya yale unayomfanyia mwenzio, taabu wanazopata Chadema huenda ni malipo ya mabaya waliyofanyia waliowainua. ======== Mwenyekiti wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa mtazamo wake kuhusu uamuzi wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama Cha...
  16. J

    Mambo ya Nyakati: Mbatia, Prof Lipumba, Maalim Seif na Mrema watarejea CCM kabla ya Uchaguzi Mkuu. CHADEMA itabaki kwa mzee Mtei

    Ukizisoma vizuri hizi nyakati utagundua hakuna fursa tena ya Upinzani mamboleo ule unaotegemea " hisani" ya ruzuku ili chama na viongozi wake waweze kuishi. Unaweza kujiuliza kwanini maalimu Seif alialikwa Ikulu na yeye siyo kiongozi wa ACT wazalendo? Halafu iangalie vizuri historia ya Prof...
  17. digba sowey

    Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

    Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiagana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam. My take,hizi ndo siasa safi. ===== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa...
  18. K

    Maalim Seif "The terminator"

    Mtazame Terminator kama ilivyonukuliwa kutoka mtandao mmoja. Maalim Seif, ‘The Terminator’ Kwa wale wapenzi wa filamu ya Hollywood, wataikumbuka filamu maarufu ya The Terminator, ambayo muhusika wake mkuu, Arnold Schwarzenegger, anapambana na maadui zake vya kutosha. Lakini bahati mbaya...
  19. w0rM

    Kwa kukutana na Maalim Seif: Kaimu Balozi wa Marekani amekiuka Mkataba wa Diplomasia?

    Wakuu, Kuna taarifa zinasambaa kwenye social media zikidai Kaimu Balozi wa Marekani amekutana na viongozi wa Upinzani (ACT-Wazalendo) na kuwa kwa kufanya hivyo amevunja Mkataba wa Diplomasia. Dkt. Inmi alikutana na Maalim Seif weekend hii. Je, ni kweli pale anapokutana na wapinzani ndo...
  20. assadsyria3

    CCM wajipamga kumzuia Maalim seif kugombea Zanzibar

    CCM Ni hatari Sana Sasa kupeleka mswada Baraza la wawakilishi kumzuia Maalim seif kugombea URAIS Zanzibar. Hi ni hatari tunawaomba CCM asilia wajitokeze kukemea Tweet Zitto MwamiRuyagwa Kabwe @zittokabwe Tuliposema kuwa CCM wana mpango wa kuzuia mamia ya wanachama wa @ACTwazalendo kugombea...
Back
Top Bottom