Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 709
- 1,556
habari ndugu zangu wana JamiiForums.
Nionavyo Mimi Maalim Seif ajaribu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu hizi
1: Amegombea Zanzibar kwa takribani miongo mitatu bila mafanikio hivyo ajaribu na JMT
2: Maalim Seif ni mwanasiasa makini hivyo akigombea JMT na akashinda Tanzania nzima itanufaika na uongozi wake
Nionavyo Mimi Maalim Seif ajaribu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu hizi
1: Amegombea Zanzibar kwa takribani miongo mitatu bila mafanikio hivyo ajaribu na JMT
2: Maalim Seif ni mwanasiasa makini hivyo akigombea JMT na akashinda Tanzania nzima itanufaika na uongozi wake