Marehemu Maalim Seif Mohamed Azzan amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kisiwani Pemba. Marehemu ni miongoni mwa waasisi wa harakati za mageuzi na kuwaunganisha wazanzibari, kupigania haki na demokrasia ya vyama vingi.
Maalim Seif Azzan amewahi kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na...
Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi ametaja baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani waliompa shida katika utawala wake akiwamo Katibu mkuu wa zamani wa CUF na baadaye mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.
Wengine ni Mwenyekiti wa TLP, Augustine...
Wananchi wa Pemba wameiomba SMZ iijenge kwa kiwango cha lami barabara iendayo kwenye kaburi la Maalim Seif kwani imeharibika sana hali inayopelekea magari kupakiwa umbali wa km 3 kutoka eneo la kaburi.
Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru...
Nimesikiliza clip ya Mchungaji Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima akijaribu kuhalalisha kifo cha makamu wa pili wa rais wa Zanzibar kuwa ameshafika miaka 70 hivyo hata akifa ni sawa kwa sababu binadamu tuliumbwa kuishi miaka 70.
Naomba nimfahamishe huyo Gwajima ambaye binafsi siamini kama ni...
Wanabodi, nashauri, kinachotokea kwenye kaburi la aliyekuwa mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad lilindwe kuepuka aibu tuendako.
Kutokana na watu kuzuru kaburi la Maalim na kuondoka na udongo kwenye kaburi lake linaweza kuharibu hadhi ya heshima aliyopewa na...
Embu mnaokaa kwenye mambo mengi kuna hili linalotokea sasa Pemba sehemu alipozikwa Al marhoum Maalim Seif Sharif Hamad,inasemekana watu wanakwenda kuchota mchanga wa kaburini na sasa polisi wanalinda lakini hata hivyo bado watu wanavizia na kuuchukua japo kwenye mfuko wa shati.
Clip inayozagaa...
Wajuzi watuambie hili la mchanga lina maana gani😥😥😥😥😥
Aendelee kulala salama Maalim Seif Sharif Hamad
===
Katika hali ya kustaajabisha inadaiwa kumeibuka watu ambao wanachukua mchanga katika kaburi la Hayati Maalim Seif. Baadhi ya wakazi wameeleza kuwa mchanga huo unachukuliwa kwa imani...
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa.
Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa...
Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema jina walilompelekea Rais Hussein Mwinyi kwa ajili ya uteuzi wa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar limetokana na wosia aliouacha Maalim Seif mwenyewe.
Zitto Kabwe amesema mtu huyo anaenda kumsaidia sana Rais Mwinyi na pia atawaunganisha wana...
PLUS TV BURIANI MAALIM: WAPI MAALIM KAFANANA NA MWALIMU?
Leo asubuhi Plus TV walinitembelea nyumbani kunihoji kuhusu vipi Maalim alivyojenga Demokrasia Tanzania.
Kipindi cha saa nzima.
Tunakaribia kuhitimisha kipindi Mtangazaji Jumanne Juma mithili ya chui aliyejificha kichakani akanivamia na...
Nilifuatilia kwa karibu shughuli za mazishi ya maalim Seif kuanzia msikitini pale Upanga hadi mazishi kule Mtambwe Pemba kupitia luninga ya Channel ten.
Kitu kikubwa nilichojifunza waislamu kwenye mazishi wanamjali zaidi marehemu kuliko wao wanaobaki.
Kwa mfano pale msikitini Upanga swala...
Tume ya Utangazaji Zanzibar imekifungia kituo cha televisheni cha Tifu kwa muda wa siku saba baada ya kudaiwa kurusha vipindi vinavyokwenda kinyume na uombolezaji wa msiba wa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Katibu Mtendaji wa tume hiyo, Omar Said akitoa taarifa...
Leo ni mazishi ya makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad na mwili umeshawasili msikiti wa Maamur kutoka Lugalo. Watu kadhaa wamefika ikiwemo kiongozi wa ACT, Zitto Kabwe, mufti wa Tanzania na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
========
Zitto Kabwe: Assalam...
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.
Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo...
Maalim Seif alikuwa ndio nguzo ya CUF na alipohama CUF nayo ikawa imekufa " kimsingi " Maalimu Seif akawa nguzo ya ACT Wazalendo ambayo wabunge wake wote ni wafuasi binafsi wa Seif. Kufariki kwa Maalim Seif kunaweza kuwa ndio mwanzo wa kifo cha ACT Wazalendo pia.
Lakini naamini Mwamba Zitto...
Zanzibar’s First Vice President Maalim Seif Sharif Hamad has died at the age of 77, less than a month after being hospitalized with COVID-19.
Zanzibar President Hussein Mwinyi made the announcement on Wednesday, further declaring seven days of national mourning.
Tanzania President John Pombe...
TAARIFA KWA UMMA
NI MSIBA MZITO SANA! BURIANI MAALIM SEIF
The Civic United Front CUF- Chama Cha Wananchi kimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa sana Taarifa ya Kifo Cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT-WAZALENDO Mheshimiwa Maalim Seif Shariff Hamad kilichotangazwa...
Akihutubia Maelfu ya wananchi kwenye kampeni za uchaguzi wa Rais wa Zanzibar mwaka 2020, Maalimu Seif aliwaambia wananchi kuwa upo mpango unasukwa wa kubadili katiba ili Rais aliyeko madarakani sasa aendelee kubaki madarakani baada ya 2025.
Maalimu akaendekea kusema kuwa kikwazo kikubwa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.