maalim seif

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Replica

    TANZIA Maalim Seif Mohamed Azzan afariki dunia, alikuwa mbunge wa zamani wa Pandani na muasisi wa mageuzi

    Marehemu Maalim Seif Mohamed Azzan amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kisiwani Pemba. Marehemu ni miongoni mwa waasisi wa harakati za mageuzi na kuwaunganisha wazanzibari, kupigania haki na demokrasia ya vyama vingi. Maalim Seif Azzan amewahi kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
  2. Erythrocyte

    Pemba: Freeman Mbowe atembelea Kaburi la Maalim Seif, amuombea dua

    Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif. Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na...
  3. T

    Uchambuzi Kitabu cha Mwinyi: Sitawasahau Maalim Seif, Mrema na Mtikila katika utawala wangu

    Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi ametaja baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani waliompa shida katika utawala wake akiwamo Katibu mkuu wa zamani wa CUF na baadaye mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad. Wengine ni Mwenyekiti wa TLP, Augustine...
  4. J

    Pemba waomba barabara inayoenda kwenye kaburi la maalim Seif iwekwe lami ili kuwapa wepesi maelfu ya watu wanaozuru kaburi kila siku

    Wananchi wa Pemba wameiomba SMZ iijenge kwa kiwango cha lami barabara iendayo kwenye kaburi la Maalim Seif kwani imeharibika sana hali inayopelekea magari kupakiwa umbali wa km 3 kutoka eneo la kaburi. Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru...
  5. F

    Mchungaji Gwajima acha kupotosha, huwezi sema Maalim Seif muda wake wa kuishi umetosha, binadamu anaweza kuishi miaka zaidi ya 100

    Nimesikiliza clip ya Mchungaji Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima akijaribu kuhalalisha kifo cha makamu wa pili wa rais wa Zanzibar kuwa ameshafika miaka 70 hivyo hata akifa ni sawa kwa sababu binadamu tuliumbwa kuishi miaka 70. Naomba nimfahamishe huyo Gwajima ambaye binafsi siamini kama ni...
  6. K

    Serikali ilinde kaburi la Maalim Seif kuepusha fedheha!

    Wanabodi, nashauri, kinachotokea kwenye kaburi la aliyekuwa mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad lilindwe kuepuka aibu tuendako. Kutokana na watu kuzuru kaburi la Maalim na kuondoka na udongo kwenye kaburi lake linaweza kuharibu hadhi ya heshima aliyopewa na...
  7. S

    Wenye maono kwanini kaburi la Maalim Seif linanukia harufu ya haliwudi ,sasa ni hatari huko.

    Embu mnaokaa kwenye mambo mengi kuna hili linalotokea sasa Pemba sehemu alipozikwa Al marhoum Maalim Seif Sharif Hamad,inasemekana watu wanakwenda kuchota mchanga wa kaburini na sasa polisi wanalinda lakini hata hivyo bado watu wanavizia na kuuchukua japo kwenye mfuko wa shati. Clip inayozagaa...
  8. mama D

    Mkuu wa Mkoa azuia wananchi kuchukua mchanga kwenye kaburi la Maalim Seif, asema wataumaliza na kuacha shimo

    Wajuzi watuambie hili la mchanga lina maana gani😥😥😥😥😥 Aendelee kulala salama Maalim Seif Sharif Hamad === Katika hali ya kustaajabisha inadaiwa kumeibuka watu ambao wanachukua mchanga katika kaburi la Hayati Maalim Seif. Baadhi ya wakazi wameeleza kuwa mchanga huo unachukuliwa kwa imani...
  9. J

    Zitto: Msaidizi wa Maalim Seif alinipigia simu mara 4 kutaka kunijulisha msiba sikupokea ndipo akanipigia Rais Mwinyi nikapokea kwa mujibu wa sheria

    Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema siku maalim Seif alipofariki yeye alikwenda hospitali asubuhi na kuelezwa maendeleo ya mgonjwa. Anasema ilipofika saa 5 na ushee akiwa katika shughuli za chama alipigiwa simu na msaidizi wa maalim Seif aliyekuwa...
  10. J

    Zitto Kabwe: Jina la Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar tulilompelekea Rais Mwinyi limetokana na wosia wa Maalim Seif

    Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema jina walilompelekea Rais Hussein Mwinyi kwa ajili ya uteuzi wa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar limetokana na wosia aliouacha Maalim Seif mwenyewe. Zitto Kabwe amesema mtu huyo anaenda kumsaidia sana Rais Mwinyi na pia atawaunganisha wana...
  11. Mohamed Said

    Wapi Maalim Seif kafanana na Mwalimu Nyerere?

    PLUS TV BURIANI MAALIM: WAPI MAALIM KAFANANA NA MWALIMU? Leo asubuhi Plus TV walinitembelea nyumbani kunihoji kuhusu vipi Maalim alivyojenga Demokrasia Tanzania. Kipindi cha saa nzima. Tunakaribia kuhitimisha kipindi Mtangazaji Jumanne Juma mithili ya chui aliyejificha kichakani akanivamia na...
  12. J

    Mazishi ya Maalim Seif nilisikia mambo 3 muhimu Ibada, Madeni na Msamaha, Wakristo wanajikita kwenye Wasifu na Mashada

    Nilifuatilia kwa karibu shughuli za mazishi ya maalim Seif kuanzia msikitini pale Upanga hadi mazishi kule Mtambwe Pemba kupitia luninga ya Channel ten. Kitu kikubwa nilichojifunza waislamu kwenye mazishi wanamjali zaidi marehemu kuliko wao wanaobaki. Kwa mfano pale msikitini Upanga swala...
  13. K

    Namtafuta Membe msibani kwa Maalim Seif simwoni...

    Mzee Membe Leo camera hazijamnasa msibani, Wala hakuna sehemu ameandika au kutoa pole kwa msiba wa nguli wa Demokrasia Maalimu, Je Membe yupo wapi?
  14. Analogia Malenga

    Televisheni yafungiwa Zanzibar kwa ukiukwaji maombolezo ya Maalim Seif Sharif Hamad

    Tume ya Utangazaji Zanzibar imekifungia kituo cha televisheni cha Tifu kwa muda wa siku saba baada ya kudaiwa kurusha vipindi vinavyokwenda kinyume na uombolezaji wa msiba wa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad. Katibu Mtendaji wa tume hiyo, Omar Said akitoa taarifa...
  15. Replica

    Yaliyojiri msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif

    Leo ni mazishi ya makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad na mwili umeshawasili msikiti wa Maamur kutoka Lugalo. Watu kadhaa wamefika ikiwemo kiongozi wa ACT, Zitto Kabwe, mufti wa Tanzania na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete. ======== Zitto Kabwe: Assalam...
  16. Erythrocyte

    Nani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad?

    Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo. Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo...
  17. J

    Kumtegemea mtu mmoja ni tatizo, ACT Wazalendo inaweza kufa baada ya Maalim Seif kufariki

    Maalim Seif alikuwa ndio nguzo ya CUF na alipohama CUF nayo ikawa imekufa " kimsingi " Maalimu Seif akawa nguzo ya ACT Wazalendo ambayo wabunge wake wote ni wafuasi binafsi wa Seif. Kufariki kwa Maalim Seif kunaweza kuwa ndio mwanzo wa kifo cha ACT Wazalendo pia. Lakini naamini Mwamba Zitto...
  18. Nyendo

    #COVID19 Zanzibar’s first Vice President Maalim Seif dies after testing positive for COVID-19

    Zanzibar’s First Vice President Maalim Seif Sharif Hamad has died at the age of 77, less than a month after being hospitalized with COVID-19. Zanzibar President Hussein Mwinyi made the announcement on Wednesday, further declaring seven days of national mourning. Tanzania President John Pombe...
  19. CUF Habari

    Chama cha CUF: Buriani Maalim Seif Shariff Hamad

    TAARIFA KWA UMMA NI MSIBA MZITO SANA! BURIANI MAALIM SEIF The Civic United Front CUF- Chama Cha Wananchi kimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa sana Taarifa ya Kifo Cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT-WAZALENDO Mheshimiwa Maalim Seif Shariff Hamad kilichotangazwa...
  20. M

    Tujikumbushe nukuu muhimu ya Maalim Seif Sharif Hamad kwenye kampeni za 2020 kuhusu Mpango wa kubadili katiba ili kuongeza muda wa Kutawala!

    Akihutubia Maelfu ya wananchi kwenye kampeni za uchaguzi wa Rais wa Zanzibar mwaka 2020, Maalimu Seif aliwaambia wananchi kuwa upo mpango unasukwa wa kubadili katiba ili Rais aliyeko madarakani sasa aendelee kubaki madarakani baada ya 2025. Maalimu akaendekea kusema kuwa kikwazo kikubwa cha...
Back
Top Bottom