Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,651
- 218,131
Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.