johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema jina walilompelekea Rais Hussein Mwinyi kwa ajili ya uteuzi wa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar limetokana na wosia aliouacha Maalim Seif mwenyewe.
Zitto Kabwe amesema mtu huyo anaenda kumsaidia sana Rais Mwinyi na pia atawaunganisha wana ACT Wazalendo baada ya kuondokewa na nguzo yetu muhimu.
Zitto Kabwe yuko kwenye mjadala katika kipindi cha Clouds 360.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Zitto Kabwe amesema mtu huyo anaenda kumsaidia sana Rais Mwinyi na pia atawaunganisha wana ACT Wazalendo baada ya kuondokewa na nguzo yetu muhimu.
Zitto Kabwe yuko kwenye mjadala katika kipindi cha Clouds 360.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!