Jipatie hii laptop HDD 500 Gb, RAM 4GB, Intel Celeron 1.6Ghz
Inakaa na charge mpaka masaa mawili na nusu kutegemeana na matumizi.
Bei Tsh 230,000. Napatikana kinondoni vijana. Simu 0765137266
Pia kuna hii kamera kwa wale wenye biashara ya studio za kupiga passport.
Sony original...
Wakuu kwema? I hope mko poa
Nina 400,000/= hapa nahitaji kununua PC, ningependa mnishauri kwa budget hii
- Napata Laptop MPYA yenye uwezo gani? na wapi naweza kuipata?
- Napata laptop USED yenye Uwezo gani? (Kutoka yale maduka wanayouza used laptops)
Naomba mnisaidie katika hili wakuu...
Nauza mkoba wa kuwekea documents na laptop.
Umetemgenezwa na material safi na ndani una sponji nyepesi ambayo haivunji PC Yako na haiingizi maji kabisa.
Bei ni 40000tshs
Nipo Dar derivery ipo ndani ya Dar na mikoani na nchi jirani ninatuma kwa uaminifu mkubwa
Mawasiliano :0628935034
Habari wakuu
Nauza
HP Pavilion x360 touch screen
RAM: 8GB
Hard Disk: 500 GB SATA
Graphics card: Intel with Radeon
Changamoto: Haikai na chaji, yaani ni direct ila inalekebishika
Ina mpasuko kidogo pembeni kama picha Inavyo onesha.
Bei laki 4 na elfu 50
Mawasiliano 0620306221
WhatsApp+255...
Salama wakuu
Ni mwaka wa tano sasa natumia hard disk bila kuibadili, tena yaweza kuwa ni mwaka wa nane maana hata laptop ni hizi za Kariakoo refurbished zimeshatumika ulaya na marekani.
Mwaka 2018 nilibadili laptop nikahamishia kila kitu kwenye hard disk ya laptop mpya yenye TB 1, hii hard...
Hivi ni kweli kuwa watumiaji wa kompyuta mpakato huku wameipakata mapajani, pamoja na sisi tunaotumbukiza simu zetu zikiwa on air kwenye mifuko yetu ya mbele ya suruali tupo kwenye hatari ya kupoteza nguvu za kiume?
Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa
Bei 1M
Mawasiliano 0623745875
Specifications
Display
Retina display
13.3-inch (diagonal) LED-backlit display with IPS technology; 2560-by-1600 native resolution at 227 pixels per inch with support for millions of colors
Supported scaled resolutions:
1680 by...
Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya dell
Nipo chuo 1st year napiga IS
Shukrani 👍☺️
Wanasemaga huwezi kujua thamani ya kitu mpaka kipotee, ukiwa nacho waweza kukichukulia poa lakini kipotee sasa, tena kiwe na attachment yako ya maisha yako, historia, mali zako, elimu, n.k.
Binafsi nkumbuka kuna siku nimeenda jengo flani nikapaki gari huku nimeacha laptop, ile narudi nakuta...
Sote ni mashuhuda wa jinsi teknolojia ya computer inavyozidi kuboreshwa kwenye simu za kiasasa smartphones, vitu kibao ambavyo zamani vilitulazimu kuvifanya kwenye desktop au laptop siku hizi tunavifanya kwenye smart phones hasa ukizingatia.
Software kibao sikuhizi hata kwenye simu zipo na pia...
Habari wakuu,
Nipo ofisini katika kampuni fulani. Ninapitia wakati mgumu sana kwani meza yangu ipo angle mbaya sana. Boss wangu ambaye ni CEO wa kampuni anaona kila kitu nachofanya kwenye PC yangu.
Hii PC inaonesha clear sana kiasi kwamba hata mtu aliye umbali flani ananizoom vizuri...
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kuchagua laptop ya kununua
Processor, Storage,RAM, Display, Graphics n.k
1.Processor
Hapa ndo kwenye performance nzima ya kompyuta yako Ni namna kompyuta inavyochakata taarifa au kila kitu unachofanya kwenye kompyuta yako kinapitia hapa kufanyiwa kazi...
Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.
Tuje kwenye simu huku ndio...
Nina thousands of documents, nyingine hata kuzipata ni kazi japo za muhimu.
Kuna namna naweza kufanya? Au Kuna application inaweza kusaidia? Naiingizaje hiyo application?
Any one with experience ?
Habari za jioni wakuu,
Nauza begi la laptop jipya halijatumika kabisa. Nipo DSM
Bei: 30,000
Value price estimated between 70,000 - 100,000
PM if you need. Photos below
Habari wana jamvi,
Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail kwa sababu nisizozifahamu. Kila nikijaribu nakutana na mambo yafuatayo
1. Disconnected
2. Outlook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.