Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni.
Ikiwa jambo hili dogo halijatekelezwa Hadi sasa,
Je itachukua miaka mingapi Serikali ya CCM kuweza kuhakikisha Shule za msingi zinaunganishwa na Nishati ya umeme au solar Kila Kijiji, Ili Kila mwanafunzi aweze kupata na kutumia LAPTOP?
Ikiwa Nchi ndogo ya Rwanda imeweza,
Tujue, katika Nchi yetu chini ya utawala wa CCM itatuchukua muda Gani kama nchi kufika huko?
Ikiwa viongozi waliopo hawana MAONO hayo, tuchukue hatua Gani wananchi?
Karibuni.🙏
Amen.