kuzaliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kuzaliwa mwenye akili hapa Tanzania

    Watu wenye akili hapa Tanzania wanapata shida sana kuishi. Kwann nasema hivi? Wajinga ni wengi sana na kupelekea wenye akili kujikuta hawawezi kuendana na tabia na hulka za wajinga.. Hivyo wenye akili mara nyingi hushindwa:- 1. Kudumu kwenye ndoa. Fuatilieni wanaoshindwa ndoa pamoja na "kataa...
  2. HOST NOT FOUND

    JamiiForums Tanzania Je, Upo uwezekano wa mfumo mpya wa kiutawala kuzaliwa?

    Katika historia ya mwanadamu, mifumo ya kiutawala imekuwa kama wimbi linalofika ukingoni na kurudi baharini, haikai mahali pamoja. Tulishuhudia ujima, tukazama kwenye ukabaila, tukakumbatia ujamaa, tukakimbilia ubepari, na sasa tunaishi kwenye kivuli cha kile kinachoitwa Uliberali wa kisasa...
  3. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Napitia wakati mgumu sana kila ikifika siku ya kuzaliwa

    Wakuu hii sijui imekaaje yani kila ikifika miezi ya karibuni ya siku yangu ya kuzaliwa hali ya maisha inakuwa ngumu Sana. Hadi inafika siku ya kuzaliwa yenyewe najikuta hali ni tete hata hela ya kula inanishinda hali hiyo itaendelea hadi miezi ya mbele kidogo ndio inaanza kupotea na kuwa na...
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa ni mzigo!: mzigo mzito sana ambao hakuna aliechagua kuubeba

    Sitakaa kuja kulaumu mtu kwa njia ya maisha aliochagua maana hata kama asingechagua wangemchagulia tu. LIFE'S A B+++H AND THEN YOU DIE.
  5. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Lijue kusudi lako la kuzaliwa

    Lijue Kusudi Lako la Kuzaliwa Njia halisinunayo paswa kuipita ili kugikia kilele cha ndotobzako . Mfahamu mpenzi wako kwa undani. Elewa siri zilizojificha kuhusu familia na ukoo uliozaliwa. Zifahamu sababu za changamoto unazopitia mara kwa mara — na njia sahihi za kukabiliana nazo — kupitia...
  6. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Lijue kusudi la wewe kuzaliwa hapa duniani kama binadamu

    Wewe hukuzaliwa hapa duniani kama jiwe, mti, mdudu wala mnyama; ulizaliwa kimaalumu kabisa kama binadamu kwa LENGO au KUSUDI maalum; unatakiwa ulijue na ulitimize kabla hujaondoka kwenye uso wa hii dunia kurudi ulikotoka! Haupo duniani ili mradi hupo tu, la hasha, hupo kwa ajili ya KAZI AU WITO...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Cheti Cha Kuzaliwa

    Nahitaji mtu ambaye anaweza kunisaidia kupata cheti changu cha kuzaliwa harafu akanitumia haraka iwezekanavyo. Scammers usipoteze muda wako, malipo yatafanika face to face na mtu wangu ambaye yupo bongo. Nahitaji mtu mwenye uzowefu na anajua kitachotakiwa kufanyika. Kwa bahati mbaya niliondoka...
  8. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya ajuta kuzaliwa mtu mweusi

    Akihojiwa na MaxMedia aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flavour Dudu Baya anajutia kuzaliwa mtu mweusi. Kauli Yake. I hate blacks. Mimi najuta kuzaliwa jitu jeusi. Nachukia sana majitu meusi. Yani jitu jeusi kugewa hela kamuue max ni jambo la kawaida halafu wazungu wamekaa wanachekelea. We are...
  9. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kuna watanzania wanamkataa Yesu Kristo, Lakini Wanaishi kwa kufuata mfumo wa Tarehe Yake ya kuzaliwa

    Kuna watanzania wanamkataa Yesu Kristo, Lakini Wanaishi kwa kufuata mfumo wa Tarehe Yake ya kuzaliwa Ni ajabu, dunia inavyojikanganya. Watu wengi wanakana kuwepo kwa Yesu Kristo, wanabeza mafundisho yake, na wanajifanya hawamwitaji. Lakini kila siku wanathibitisha kuwa maisha yao bado...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Natengeneza tin certificate, cheti cha kuzaliwa, lessen ya biashara

    Kwa wale wenye uhitaji WA tin certificate, vyeti vya kuzaliwa na lessen za biashara nakutengenezea Kwa bei nafuu Sana ...nichek 0761808489 Kwa wasap au normal SMS... Huduma NI uhakika
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KHERI ya kuzaliwa Kipenzi changu Binti Kimoso

    Kheri ya kuzaliwa Binti Kimoso! Mungu akupe maisha mazuri yenye KHERI nyingi Sana katika mapito yako. Kwangu umekuwa Baraka Sana. Wewe ni Mama wa Watibeli. Watibeli wanajivunia kuwa na mama kama wewe. Nakupenda Sana Binti Kimoso. Binti Kimoso ni Mmoja tuu. Mtoto mzuri kila idara. Mwaah!
  12. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Heri ya mfanano wa kuzaliwa kwangu

    Msinishangae sana Ile kasumba ya mwanaume kusherehekea birthday ni ushamba sio ya maana kila mtu ana vitu vyake vinavyo mpatia furaha Leo nimeongeza mwaka mmoja naomba mnipigie makofi 🎂🎈
  13. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa kwa Bikira Maria pamoja na malezi yake

    Habari zenu wakuu, Leo nataka tujifunze yaliyotokea wakati wa kuzaliwa kwa Bikira Maria pamoja na malezi yake hadi pale alipotokewa na malaika na kujulishwa kuhusu kumzaa Yesu. SURA YA 1 1 Uzazi wa Mariamu 7 Yoakimu baba yake na Ana mama yake wanakwenda Yerusalemu kwenye sikukuu ya kuweka wakfu...
  14. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo ashiriki hafla ya kumbukumbu ya siku kuzaliwa ya mfalme wa Japan

    WAZIRI KOMBO ASHIRIKI HAFLA YA KUMBUKUMBU YA SIKU YA KUZALIWA YA MFALME WA JAPAN Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika hafla ya kusheherekea miaka 65 ya kuzaliwa Mtukufu Naruhito, Mfalme wa Japan iliyofanyika katika...
  15. ephen_

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

    Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua. Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi. Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno. Inasaidia mtoto asipate husda yoyote...
  16. Oscar Lyrics

    JamiiForums Tanzania Kitu gani hujawahi kuona tangu kuzaliwa?

    Ni vingi lakini hivi ni baadhi, -Mmasai albino -Mwanajeshi albino -Ambulance ikiwa sheli (kituo cha kujazia mafuta) Najua hata nyie vitinda mimba hamjawahi kuwaona mama zenu wakiwa wajawazito :D -Kwa upande wako wewe hujawahi kuona kitu gani?
  17. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Heri ya Siku ya Kuzaliwa Young Africans (Yanga SC )

    Leo mtani wetu klabu ya Yanga imetimiza miaka kadhaa tangu kuanzishwa,, ingawa imeangukia siku mbaya baada ya Jana kuangukia pia baada ya kutoa sare na Jkt ya masau bwire ila ndio hivyo maisha lazima yaendelee TU hakuna namna. Nawaza TU hapa sherehe na shamra shamra zitafanyika kweli??, au...
  18. GadoTz

    JamiiForums Tanzania Je, WCB inaenda kuzaliwa upya au inaelekea kwenye kifo?

    WCB moja ya lebo zilizofanya vizuri na wanaendelea kufanya vizuri kwenye kiwanda cha muziki Tanzania na hata nje ya mipaka. Ila hapa kati ni kama lebo ilianza kudorola haswa baada ya kuondoka wasanii wao powerful, Harmonize na Rayvanny. Ile nguvu ya WCB kuisikia kila kona ya nchi imepungua...
  19. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano

    Wakati Chama cha Mapinduzi kinaelekea kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, moja ya kitu kinajivunia ni kuwa na ofisi nzuri zenye hadhi na muonekano wa chama. Hii ni ofisi ya CCM Kata ya Manzese ambayo muonekano wake ni bora na yenye kuvutia. Asante Dotto Magari kwa kututembelea na...
  20. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Upendo toka Manyara: Sherehe ya Kumbukizi Kuzaliwa Rais Samia Suluhu

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga akikata keki ikiwa ni ishara ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan iliyofanyika Kiteto, Manyara. Sambamba na hilo wakazi wa Mji wa Kibaya walijitokeza kwa wingi katika upandaji wa Miti 500...
Back
Top Bottom