Je, Simu Yako Inakupeleleza Bila Wewe Kujua? Hizi Ndizo Settings Hatari Unazopaswa Kuzima MARA MOJA!
Katika zama hizi za kidijitali, kila swipe, kila app unayofungua, na kila sekunde unayotumia kwenye simu yako inaweza kurekodiwa — si kwa nia mbaya kila wakati, bali kwa ajili ya uchambuzi wa...
Watu wako serious —baada tu ya kujifunza na kujua faida zake wameanza kuyapanda majumba. Huu mmea unasurvive popote hata kama unaishi nyumba ya kupanga, panda kwenye ndoo na uweke chumbani kwako.
Mdharau asili hufa kikatili
Kuna mdada gani sasa hivi hana kisirani?
Kuna mdada gani sasa hivi agombani na mmeo hata kama sio physical mnaenda round saikolojiko?
Its 2025, bado kijana anawaza ukabila wa mademu.
Mademu wa kileo ni kabila moja🤣🤣
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Rais ni mali ya watu wote ni mali ya raia
Tunaomba kujua ni wapi alipo maana kimiya na tetesi ni nyingi sana
Kwaamaana October tunataka kutic
Ni wapi alipo rais wetu
Asanten sana
LONDON BOY
GT
Wakuu such a potential person una mficha kwa madhumuni gani. Huyu jamaa kama JPM angekuweoo lazima angepewa nafasi kubwa sana kusimamia serikali.
Najua kabisa moyoni ana majonzi analia kilio cha Samaki but he is a great Man wahuni hawataki kabisa kumsogeza mbele maana hawezi kukubali...
Wakuu things are cottonfire the ground is hot,tutarajie something worst as soon as possible.
siyo yeye tu anayetetemeka kwa presha na hasira kali habari ni kwamba ile press ya Slow Slow ni cha mtoto kuna mtu mzito anataka kuachia bomu na hapatakalika tena.
unaambiwa hadi yule mtoto wa mjini...
Kwa sababu Amos Makalla amesema hana taarifa. Kwa sababu siku hizi kuna fake news nyingi watu wanataka uhakiki wa hii taarifa.
Na hata Makalla amesema mwachie Polepole mwenyewe athibitishe.
Kuhusu sababu za kujiuzulu kama zinaweza kusemwa bila kuanzisha ugomvi.
Tunakumbuka Kolimba alivyosema CCM...
1. Kisheria ni nani aliyemuuzia MO Simba SC?
2.Ndani ya Simba SC ni nani mwenye mamlaka ya kumuhoji MO? Nje ya Simba SC je? Kama mpo kwa nini msimuhoji?
3. Kwanini MO anaruhusiwa kuchanganya dhana ya ufadhili, dhana ya biashara na dhana ya uongozi kwenye taasisi moja?
4. Je ripoti za...
Wakuu Salama!!!
Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye mada naomba majibu wakubwa Mimi kijana wa 2000 (elfu mbili) ivi ni kweli inawezekana kabisa mke kunikimbia kisa eti anasema Nina mchosha sana kitandani kwenye tendo la ndoa, kabla ajaondoka alianza kuwambia majirani wa mama wa mtaa eti waniambie...
Juzi Jumapili nilipigiwa simu na Dada mmoja anaitwa Jennifer akasema "Hellow Luhamba nimesajili jina la biashara lakini limekataliwa, naambiwa linalofanana na jina lililosajiliwa, hata sielewi nafanyaje"
Nikamwambia "Jennifer ulikosea"
Akashangaa sana, lakini nilichomwambia bad ya hapo...
https://www.instagram.com/reel/DKXY9NGtTdT/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Samahani wakuu, Kwa anayejua lina la huu wimbo naomba anisaidie ili nikaupakue.
Natanguliza shukrani
Wakuu hongereni na poleni kwa majukumu
Kwanza namshukuru Mungu kwa mema yote hadi nimefanikiwa kupata kazi serikalini. Mimi ni mwenyeji wa Mikoa ya Kusini ila kwa sasa nipo Arusha hivyo nitatokea huku kuja Arusha kuja Bunda TC
Sasa naomba kujua mazingira yakoje, hali ya hewa,huduma za kijamii...
Wanaume ambao ni malaya wanaosumbua wanawake zao ni wanavibamia .
1. Huwapiga wake zao
2. Huwa wanavurugu sana
3. Huwa wanajiona wanajua
4. Wanawake wengi mno kila mtu yeye .
5. Huwa hawana amani hawajiamini na hawajipendi yaani afya zao haziridhishi.
WAnaoa sana kama ni waislam .
Jipya hakuna
HABARI YAKO.
Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini.
Kwa upande wa iOS devices ninamaanisha iPhones hua wanakuonesha hali ya afya ya battery yako kwa mfumo wa...
Kwenye post yake la Leo kuhusu Makonda amewaasa wananchi wa Arusha kutokumchagua mgombea wa mchongo( Makonda) , ambae wamepewa na CCM na badala yake wamchague mgombea wao wenyewe.
Mpaka hapo ni OKTOBA TUNATIKI 2 - 0 NRNE.
NRNE haikuwa na uhalisia. Bora Chadema wangeingia ulingoni halafu...
Wakuu, nataka kwenda Dodoma kwa treni ya umeme. Aliewahi kutumia usafiri huu atujulishe utaratibu tafadhali.
Dodoma nitakaa siku moja then nitapita " Singida" Kisha Igunga, ikifuatiwa na Tabora mjini " Chuo cha Uhazili" Then Mwanza jiji Rock City ambako nitakaa kama wiki moja hivi Insha'Allah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.