Nasikia Mabweni na madarasa mpaka upande bajaji/pikipiki. Is that true? ie it is a long distance...
Accomodation ikoje? au kuna kupanga nje?
Kijana amechaguliwa hapo, sasa wanasema UDOM pagumu kwa usafiri.
Placebo Effect: Mtu anaweza kupata matokeo kwa sababu anaamini yatatokea, si kwa sababu ya uchawi wenyewe.
Self-Fulfilling Prophecy: Imani kwamba umelogwa inaweza kukufanya uwe mgonjwa au mkosa amani—siyo kwa sababu umeathiriwa moja kwa moja, bali kwa msongo wa mawazo.
b) Ushawishi wa...
Kuna huyu Dada anajiita Maria sarungi , je huyu anapambania kitu gani?
Anakuambia Tutaelewana.
Mimi sipandi chochote ila yeye anapambania nini maana Field hayupo zaidi ya kuweka hashtag ya #Tutaelewana.
Ndugu zanngu mambo vip?
Kumekuwa na upigaji mwingi sana kwenye biashara za mafriji hasa mafriza. Wengi tunauziwa mafriza tunaambiwa freezer hilo ni ujazo fulani kumbe sio. Mfano unaweza kuambiwa freezer lina ujazo wa lita 100 kumbe ni lita 50. Naomba mwenye utaalamu wa kujua ujazo wa mafreezer...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU mtakatifu sana
Mkuu wa usalama wa taifa siyo mali ya kikundi flan cha watu bali ni mali ya watanzania wote
Kwa kuwa ni mali ya watanzania wote bas tunaomba kujua ni wapi alipo huyu baba yetu kipenz mzee seleman mombo
Asanten sana
LONDON BOY
Instagram Inaweza Kushare Mahali Ulipo na Followers Wako Wote
Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, taarifa binafsi zimekuwa bidhaa yenye thamani kubwa. Hata bila ruhusa ya wazi, programu zinaweza kutumia ruhusa za simu yako kufuatilia na kushiriki mahali ulipo. Instagram, moja ya majukwaa...
Kabla ya kuingia kwenye elimu ya yote, ni muhimu kuelewa kwamba mwanadamu anaguswa na aina mbalimbali za elimu za kimaumbile ambazo husaidia kufafanua ulimwengu unaoonekana. Fizikia hutufundisha kanuni za mwendo, nguvu, na nishati; Kemia hueleza muundo na mabadiliko ya vitu; Baiolojia huchunguza...
Siri za Saikolojia: Mbinu 5 za Kuwashawishi Watu Bila Wao Kujua
Umewahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu wana uwezo wa kuwashawishi wengine kwa urahisi? Sio kwa sababu wanatumia nguvu, bali wanajua siri za saikolojia ya binadamu. Kuelewa mbinu hizi kunaweza kukusaidia katika biashara...
Ni uvivu tu wa kufikiri na kutambua kuwa KUAMINI kitu ni mashaka badala yake ni KUJUA ni kujua kitu.
Waafrika wengi wamepotoshwa kuwa kuna kumwamini yesu na muhamadi ambao ni njia ya kwenda kwa Mungu.
Inakuaje uamini kitu ambacho hukijui iwapo tunaamini kuna kufa kwa sababu tunajua watu...
Habari ya jion wanajanvi.
Ningependa kujua alipo gwiji uyu wa siasa apa Tanzania na ni lipi neno lake kuhusu kesi hii ya Lissu na hususan baada ya taarifa ya leo kuhusu wale waitwao mashahidi wa siri.
Mimi najivunia tu kinaniwezesha kusoma habari hapa jamii F basi hata mtandao wa x habari nyingi na nzuri ni za english pia vitabu vingi vilivoandikwa na viongozi au wasomi wa tanzania vingi ni kwa kiingereza labda tu erick shigongo ndo kaandika kwa kiswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.