Arusha bado kuna wahuni wa kila aina na wengine wajiweka tofauti na kujiita wadudu.
Wadudu wamepata nguvu kubwa kwa RC Makonda ila tokea kupata nguvu yani ukifungua mtandao wa youtube mara wameiba jeneza, mara wamefanya hivi yaani vituko na maajabu.
Kumbuka ulitoka Dar, Mfano Dar unapowapa...
IoT: Teknolojia Inayounganisha Vitu na Maisha Yetu
Katika dunia ya sasa inayozidi kushikiliwa na teknolojia, kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia yanayobadilisha namna tunavyoishi, tunavyofanya kazi, na hata tunavyolima. Moja ya teknolojia zinazochukua nafasi kubwa kwa sasa ni IoT –...
Kwa uzoefu wangu ya miaka mitatu,
1. Nimefanya kazi na wateja zaidi ya 400
2. Nimetumia platform zote za freelancing
3. Nimefanya kazi zaidi ya masaa 10,000
4. Nimetengeneza chain ya clients wa kudumu
5. Nafahamiana na kila freelancer hapa Tz
6. Nimejifunza skills zaidi ya 20
7...
Watu wengi siku hizi wanakimbilia bei nafuu bila kujiuliza kuhusu ubora wa bidhaa wanazoweka kwenye magari yao. Ukiambiwa brake pads ni elfu kadhaa badala ya elfu kadhaa, unafurahi haraka bila kujua kuwa hiyo elfu 30 inaweza kukupeleka kwenye ajali. Siyo kila kilicho rahisi ni cha heri. Spare...
Hapa Pangani kuna kivuko kinachounganisha Pangani na Bweni kimekuwa na hitilafu za mara kwa mara na sasa kimegeuka kuwa chanzo cha usumbufu mkubwa.
Wiki moja iliyopita, kivuko hicho kilipata hitilafu ya injini na kusombwa na maji kuelekea baharini, ingawa abiria waliokolewa kwa kutumia boti...
Nadhani waliosema dini isichanganywe na siasa hawakuwa wajinga.
Sio busara Wala haileti Afya Kwa viongozi wa Dini Kugeuka Wanasiasa Kwa kutumia majukwaa ya dini na kukificha kwenye dini.
Hawa viongozi wa Sasa wako wazi wazi wanaegemea Vyama na watu wao ,tukiendelea hivi ni hatari.
Niite wito...
UKWELI KUHUSU VIDEO YA MWANAMKE ILIYOKUWA IKISAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII.
1. Hii ni video nzima.
2. Video ya awali ilikatwa na wahuni.
3. Si mtoto, ni mtu mzima.
4. TAZAMA VIDEO NZIMA👇
Unaweza Kunisikia Humu Ndani" ni kitabu kinachozungumzia ukweli mzungumzwi kuhusu unyonyaji na hali ya kisiasa na kiuchumi barani Afrika. Kitabu hiki hakina aibu kukufungua macho na kukueleza kile kinachofichwa, kupitia hadithi ambazo zitaacha alama kwenye moyo wako.
Hebu angalia baadhi ya...
Mambo yanapoelekea ni kama kuchanganyikiwa kwa Rais kulazimisha kukubali kuwa CCM ni tatizo na yeye ni tatizo.
Walimu wamedai haki yao muda mrefu ila kama yakipuuzwa sasa wakaona wakifanya hivi kwa kuwa ndio wanakuwa kwenye uchaguzi wamuunge mkono kwenye magoli ya mkono.
Kongamano kubwa la Kitaifa la TLS kuhusu uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2025.
https://www.youtube.com/live/OsDzcv1mgK0
Jaji Warioba
- 2015 Kuna sababu Nyingi zilizofanya wagombea wakaenguliwa lakini zile hazikuwa na Misingi iliyoko kwenye sheria za Uchaguzi wala Katiba ya Nchi na ilileta...
bashungwa
kesi
kesi ya lissu
kitaifa
kongamano
kubwa
kuhusu
kujadili
lissu
mahakama
mambo
mambo ya
mambo ya ndani
mkuu
mwabukusi
mwaka
mwaka 2025
mzee
mzee warioba
ndani
rais
rais wa tls
serikali
tanzania
tls
uchaguzi
uchaguzi mkuu
uchaguzi mkuu 2025
waziri
Polisi waogopeni sio tz wala duniani ni magenge ambayo kama yakikosa utawala bora ndiyo haya.
Tukio lemetokea kenya huko kuna shuuda aliona kijana kutupwa mto mmoja kenya na polisi kwenye maandamano kenya yaliyotokea siku chache na yeye mda mda mchache alipotea.
Jana alipatikana amefariki.
Ukimya wa Mkuu wa KKKT,Askofu Alex Malasusa kukaa kimya hadi sasa tangu kutokea tukio lililomkumba Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, unaweza kuibua maswali mengi, hasa ikizingatiwa kuwa viongozi wa dini mara nyingi huonyesha mshikamano wanapokumbwa...
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi na Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo na makumpuni ya Viet Nam, ambapo wamenadi fursa mbalimbali za biashara na uwekezaji...
1. Kanisa litafakari kwa kina na kuchukua hatua kali zaidi dhidi udhalimu. Hapa tatizo si kushambuliwa kwa Fr. Kitima na wengineo bali UDHALIMU ulioota na unaoendelea kuota mizizi kwa kasi zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
2. Kanisa liwaunganishe Watanzania wote kupinga udhalimu katika...
Habarini,
Natafuta Ajira alileta uzi uliosema wanaume wa 30's tuoe mabinti wa 19-23, wanaume wengi ikiwemo mimi walimuunga mkono natafuta ajira, ila hizi ni factors ambazo hatukuzi consider:
1) Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti wengi wa miaka 19-23 wana prefer ku-date na age mate wenzao...
Angalia tweets zake hapa:-
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
Ni mpenzi wa Yanga na aliingia Twitter mwaka 2018
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe...
Habari wasee. Kwenye kupitapita youtube nimekutana na hii kitu ya False Prophet nikasema nishare na wana wa JF wapate kujifunza namna ya kutambua huu utapeli ambao ndio habari ya town kwa sasa.
https://youtu.be/G59pQD4n83s?si=6D68BV_iWmofR6MG
Wataalamu wa historia wanasema historia hutuambia kwa nini tupo hapa. Nimelazimika kutafakari na kurejea matukio mbali mbali yanayomhusu Mwenyekiti Mbowe kabla ya kupumzishwa na wanachama kwenye nafasi ya wenyekiti wake. Nimerejea matukio mbali mbali hususani baada ya mwenyekiti Mbowe kutoka...
Flexible Staking, hizi huwa faida ndogo na risk ndogo kwa kuwa unaweza kutoa muda wowote unaotaka. Sio lazima uweke kufikia siku zote za plan hiyo ya investment.
Locked Stakings, Hizi mara nyingi huwa na faida kubwa na risk kubwa. Katika hizi ukichagua plan ya kuwekeza kwa mwaka 1 basi hutaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.