Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

Citizen89

Member
Joined
May 9, 2026
Posts
7
Reaction score
11
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.

Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma.

Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua nichague kipi kwakuwa kwasasa naona soko la ajira limekuwa gumu. Sina uzoefu wowote kuhusu kozi hizi ndio maana nimekuja kuomba ushauri wenu.

Kozi ambazo ninatamani kuzisoma ni hizi:
1. Diploma in Civil Engineering.
2. Diploma in Architecture Engineering.
3. Diploma in Pharmaceutical Sciences
4. Diploma in Laboratory in Biomedical Equipment Engineering.
5. Diploma in Nursing and Midwifery
 
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.

Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma.

Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua nichague kipi kwakuwa kwasasa naona soko la ajira limekuwa gumu. Sina uzoefu wowote kuhusu kozi hizi ndio maana nimekuja kuomba ushauri wenu.

Kozi ambazo ninatamani kuzisoma ni hizi:
1. Diploma in Civil Engineering.
2. Diploma in Architecture Engineering.
3. Diploma in Pharmaceutical Sciences
4. Diploma in Laboratory in Biomedical Equipment Engineering.
5. Diploma in Nursing and Midwifery
Architecture ,lakin kwa nn usiende kwenye mambo ya technology kama AI/ML , DATA SCIENCE AND ENGINEERING,
 
Ina maana mshahara wake ni mdogo kiasi hicho? Lengo ni kusoma na kupata ajira, suala la mshahara nitajua namna ya kulipangilia.
Basi soma Diploma in Nursing and Midwifery ndio kofu Pekee ya afya yenye kuajiri sana watu
 
Shukurani ziwafikie wote mnaosoma uzi huu.

Naomba niende kwenye mada, mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2025 katika Tahasusi ya PCM, kwa mwaka huu ninatamani ku-apply kusoma courses za Diploma.

Kuna machaguo mawili; kozi za Diploma za afya na kozi za Diploma za Uhandisi. Nipo katikati sijajua nichague kipi kwakuwa kwasasa naona soko la ajira limekuwa gumu. Sina uzoefu wowote kuhusu kozi hizi ndio maana nimekuja kuomba ushauri wenu.

Kozi ambazo ninatamani kuzisoma ni hizi:
1. Diploma in Civil Engineering.
2. Diploma in Architecture Engineering.
3. Diploma in Pharmaceutical Sciences
4. Diploma in Laboratory in Biomedical Equipment Engineering.
5. Diploma in Nursing and Midwifery

Utapatiwa ushauri, lakini mwisho kabisa chukua na fanya kile moyo wako unapenda ambapo hata bila kulipwa unafuraha tu kufanya.

Kila la kheri.
 
Kijana wangu sitamruhusu asome afya halafu afanye kazi bongo.

Ni stress sana
 
Kama unataka ajira serikalini Nashauri usome nursing kama unataka ujiajiri bas pharmaceutical ipo vizur. Nimegusia kwa kozi za afya kwa uzoefu wangu. Nb; kusomea afya ni wito hivyo sikiliza moyo wako
 
Kama unataka ajira serikalini Nashauri usome nursing kama unataka ujiajiri bas pharmaceutical ipo vizur. Nimegusia kwa kozi za afya kwa uzoefu wangu. Nb; kusomea afya ni wito hivyo sikiliza moyo wako
Pharmacy atakufa siku si zake..

Radiology
Dental
Optimetry
Nurse
Clinical medicine
Lab
 
Kwa afya kasome diploma in radiology au diploma in dental technology
hizi ndo kozi zenye soko na demand kubwa sana sokoni na hziz ni nzur ukizipiga pale muhas,kcmc na vyuo vingine vizur vya private

kwa engeneering
kasome biomedical engeering au electrical engeneering na hizi ni nzuri ukizipiga pale arusha tech
 
Back
Top Bottom