Naomba kuuliza hivi unawezaje kuishi kwenye kiwanja Cha ukubwa huu yaani nashindwa kuwaelewa Hawa jamaa Leo nimepita sehemu nimekuta hiki kituko tena familia kubwa tu inafanya usafi kwenye kiwanja chao aisee tafuteni hela acheni ujinga viwanja vya 10x10 ni kiwanja kweli
Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot).
Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumba ya Mkuu wa Wilaya.
Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1265.
Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya kwenda...
Kiwanja kipo mbali na mkoa ninaoishi kwa sasa. Nina mtu atakayenisaidia kupokea hela kwa ajili ya malipo, au ninaweza nikaweka kwenye akaunti ya muuzaji kama ataona sawa.
Changamoto yangu ni kuwa ninataka jina langu na sahihi yangu kama mnunuzi ionekane kwenye mkataba huo. Siyo kwamba siwaamini...
Natumaini nyote wazima, naomba kujua gharama za kupatata Hati ya kiwanja ambacho kimeshapimwa na kupatiwa block number, kiwanja kipo chanika. Au kama kuna mtu anaweza nisaidia nikapata nitashukuru
Natanguliza shukrani
Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot).
Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumba ya Mkuu wa Wilaya.
Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1265.
Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya kwenda...
Habari wakuu.
Mkuu uliyejipata ni Bora ununue hiki kiwanja ili badae uuze Bei ya juu kuliko Kununua Gari lingine alafu badae uje uuze Bei ya kutuma.
Gari kila baada ya Muda linashuka Bei na likipata ajali ndio kabisa.
Lakini kiwanja kila baada ya Muda kinapanda Bei.
Hivyo basi nakupa hiki...
Naomba ushauri kuna kiwanja nimekipenda kununua kina hati miliki lakini naskia gharama za kufanya transfer ni kubwa je nifanyeje ili kupunguza gharama au nitafute ambacho hakina hati militias nipime nitafute hati miliki
Plot for Sale at Kijitonyama located in a very quite and peacefully neighborhood,
■One incomplete building
■Area size 1500sqmt
■Price 850m tsh
Contact us and Schedule a visit!!
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
Hope all is well oooh..
Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu...
Kiwanja kina;
-Hati
-Maji
- Umeme
-Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo
PRICE : 80M
Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea.
Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
Hope all is well oooh..
Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu...
Kiwanja kina;
-Hati
-Maji
- Umeme
-Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo
PRICE : 80M
Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea.
Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter
+447939378570
Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot).
Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya.
Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1265.
Bei:Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya...
Kiwanja kinauzwa Jakaranda Mbeya. Sqm 1200, bei Tshs 120m, Jakaranda ni mahali pazuri kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za makazi hasa apoartments. Wasiliana nasi:+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.