kiwanja

  1. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Kiwanja sqm.4,000, tshs.65 milioni, picha-ya-ndege, Kibaha

    ...
  2. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Nyumba mbili, kiwanja sqm. 3,000, tshs.110 milioni,kiluvya kwa komba kinauzwa

    ....
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Arusha olasiti darajani barabara ya Mrombo

    Kiwanja kinauzwa arusha olasiti kipo njia ya mrombo kabla ya ffu kambi darajan kulia ukitokea mjini mita 800 kutoka lami mpaka kwenye kiwanja huduma zote zipo karibu kiwanja kina hati ni 18*25 eneo lipo barabarani kwenye barabara za mitaa bei ni 20m maongezi yako. Serious only 0629194102.
  4. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya. Kipo kilomita 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  5. asanteelimu2016

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Toangoma

    Nauza kiwanja kipo Toangoma Malela Ukubwa sqm 800 (40×20) Kiwanja kina hati ya wizara miaka 90 Mtaa umepangika vizuri na barabara za mtaa safi. Kilometa 1.5 kutoka barabara ya Kongowe Kigamboni (Funcity) Kilometa 1 kutoka barabara ya vikunai Chekechea. Bei Tsh Milioni 18 (Neg) 0717727504
  6. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja sqm 535, kina hati

    Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa Jumamosi (Loliondo). Linapatikana kupitia barabara ya Tamco-Mapinga, ambayo ipo katika ujenzi wa...
  7. KOMANDO YOSO

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma. 1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi 2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi. 3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni...
  8. Say my name

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Dodoma, Nkuhungu

    Habarini za muda huu wana jukwaa?, kiwanja kisicho na kipengele chochote kinauzwa kwa bei ya jioni kabisa, kipo karibu na shule ya saint home ya Nkuhungu, kwa mwenye uhitaji apige namba ifuatayo 0623799381, details nyingine zipo kwenye kielelezo cha picha hapa chini ya uzi huu!
  9. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kwa matumizi ya sheli kinauzwa Chumbuya Songwe

    Kiwanja kwa matumizi ya sheli kinauzwa Chumbuya mkoa wa Songwe kiwanja sq 2800. Tshs. 300m mazungumzo yapo. Wasiliana nasi +255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
  10. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Kituo cha mafuta kinauzwa mkoa wa Songwe,

    Kituo cha mafuta kinauzwa mkoa wa Songwe, kiwanja kina ukubwa wa sq 2500, kina hati kwa ajili ya matumizi ya kituo cha mafuta Tshs 350m. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050 nyote mnakaribishwa!!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 6.5m lipa taratibu

    Kiwanja kipo kibaha, hati ipo, kimelipiwa serikalini kwa control number hakuna dalali wasiliana 0764 714 801.
  12. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nyashishi mwanza nakiuza

    Biashara inaleta faida kuliko kiwanja, bora nikiuze niongeze mzunguko kwenye biashara yangu. Bei ni 2.5 m Urefu hatua 30 kwa 25 Maeneo yamepimwa, hati ya serikali ya mtaa, Kinapatikana nyashishi, barabara ya vumbi inayoelekea kule inakojengwa bandari kavu. 2.5 cash Piga simu namba...
  13. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Forest mpya

    Kiwanja kinauzwa Forest mpya sq 2100 tshs 80m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050, nyote mnakaribishwa!!
  14. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbeya

    Kiwanja kinauzwa Forest mpya. Sq 1800. Tshs 75m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050, nyote mnakaribishwa
  15. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kila Halmashauri inuwezo wa kujenga kiwanja kama cha kmc au singida black stars

    Kwa Tanzania kila Halmashauri ikiamua inaweza jenga kiwanja mfano wa kmc au singida Black stars kama wakiamua mfano Halmashauri ya ubungo, temeke, na kigamboni wanaweza kuwa na kiwanja kama kile Viwanja hivyo vitaweza kukuza michezo ndani ya Halmashauri hizo na kuwa chanzo cha mapato kwa...
  16. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Mlengaji wa kiwanja njoo fasta nimekuletea dhahabu.

    Habari wakuu. Boss njoo fasta hapa Luguruni karibu na ofisi ya mkuu WA wilaya nikupe hiki kiwanja. Sqm 721 na area hii kila sqm moja inauzwa 350000 asee boss njoo fasta. Kiwanja hiki kinataka milion 90. Njoo ulenge hiki kiwanja boss utanishukuru badae 📱0754693556
  17. CreatureKH

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu hakina udalali

    Nauza kiwanja changu..kipo vikindu kwa Mzee puga Ukishuka stend VIKINDU nauli ya bajaji ni 700 hadi site Futi 48 kwa 54 Bei mil.3 😔Bei hapungui kusema kweli.. ukiwa interested tuongee biashara na msimu mzuri wa kujua viwanja ni huu msimu wa mvua
  18. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga Wafikia Asilimia 75, Kukamilika Juni 2025

    UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SHINYANGA WAFIKIA ASILIMIA 75, KUKAMILIKA JUNI 2025 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Dkt. Charles Msonde ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji Mitaji ya Umma (PIC), kuwa kiwanja cha ndege cha Shinyanga kitakamilika mwezi juni mwaka huu. Amesema hadi...
  19. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu ametapeliwa kiwanja anaomba msaada afanyaje

    Huyu jamaa alinunua kiwanja mwaka 2005 kiwanja kilikua kimepimwa Kwa maelezo yake wakati ananunua muuzaji alitoa mawe ya namba za kiwanja kimya kimya ndio zkamuuzia mwaka 2018 jamaa akajenga nyumba kubwa ya vyumba vitano Sasa wiki iliyopita yule jamaa aliemuuzia kuyumba kiuchumi akamgeuka...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Kiwanja au Biashara

    Habarini wana JF poleni na majukumu ya kila siku. Moja kwa moja ningependa kwenda kwenye maada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mwenye familia ya mke na mtoto mmoja nayeendelea kupambana kila kukicha katika kibarua changu chenye malipo ya kawaida. Nimekuwa napata shida...
Back
Top Bottom