kiwanja

  1. No SQL

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  2. No SQL

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  3. V

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mabwepande

    Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter +447939378570
  4. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Iwambi block E sqm 1100

    Kiwanja kina uzwa Iwambi block E. Sqm 1100. Bei Tshs 30m. Mazungumzo yapo. Wasiliana nasi +255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
  5. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya. Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei:Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya...
  6. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Jakaranda,Mbeya

    Kiwanja kinauzwa Jakaranda Mbeya. Sqm 1200, bei Tshs 120m, Jakaranda ni mahali pazuri kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za makazi hasa apoartments. Wasiliana nasi:+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
  7. MNEKI

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Msalato-Dodoma

    Deleted
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kibaha kwa Mfipa million 3.2

    Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo) Ukubwa ni mita 20×20(sqm 400) Bei million 3.2 Hicho pembeni ya hiyo nyumba Kilomita 2.5 toka stendi Huduma zote zipo Umeme na maji ni kuvuta tu Kimebaki kimoja tu 0744757738 0784376888
  9. V

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kibada Kigamboni

    kiwanja kipo karibu na barabara ya lami kina ukubwa wa sqm 1700 bei milioni 70 mazungumzo yapo mawasiliano 0659962452
  10. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chakukata,sqm.600,Tshs.70 milioni, Mbezi-Afrikana

    Hapa
  11. W

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    .
  12. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja chenye msingi, kinauzwa na bank, sqm. 600, tshs.7 milioni, Mabwepande

    ...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Zinga Mlingotini

    Habari ndugu zangu,nauza kiwanja ukubwa ni 20 ×24 kiwanja kipo karibu na barabara ya vumbi inayoenda mlingotini kina karatasi ya mauziano bei 6,00,000/= maongezi kidgo yapo Phone number 0657759846, 0653652755 Kiwanja kipo nyuma ya nyumba ya kwnza kutoka barabara ya vumbi..kina njia pana tu ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI Nauza kiwanja changu kilichopo Ihungo, Bukoba Mjini. Kiwanja ni tambarare, kina ukubwa wa 20m x 40m, na barabara inapitika vizuri hadi kiwanjani. 📍 Mahali pazuri kwa makazi 🏫 Shule, hospitali na maduka vipo karibu 📄 Miliki halali, salama...
  15. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya. Kipo kilomita 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  16. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania kama unataka kiwanja nunua kipindi hiki cha mvua ulijue eneo vizuri

    usinunue kipindi cha kiangazi kama unataka kiwanja tafuta msimu wa mvua eneo unaliona vizuri kama lina asili ya matope au kuna maji yanapita chini kwa chini ili kuepuka changamoto.Na bora matope kuliko ununue kiwanja sehemu ambayo ni wetland.kiangazi hutagundua .
  17. Blaszczykowski

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauza nusu Heka - Dar es salaam - Bunju A

    Habari . Kiwanja kinauza takribani nusu heka kipo Dar es salaam -wilaya kinondoni -Bunju A karibu na Sarafia school. Price - 95m maongezi yapo -kutoka bagamoyo road mpaka site NI DK 10 Tu ( mtaa WA madoctor ) Full document zipo ukitaka kupaona anytime nipo apa Bunju WhatsApp / call 0715160365
  18. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja safi chenye hati, SQM 400, Tsh. Milioni 55, Kigamboni darajani

    .....
  19. MNEKI

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Msalato -Dodoma

    Deleted
  20. dalalitz

    JamiiForums Tanzania KIWANJA CHENYE MSINGI, SQM.500, KINAUZWA NA BANK,TSHS.13 MILIONI, MBEZI-MSAKUZI.

    ....
Back
Top Bottom