kiwanja

  1. G

    Kiwanja Kinauzwa Kibaha kwa Mfipa million 3.2

    Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo) Ukubwa ni mita 20×20(sqm 400) Bei million 3.2 Hicho pembeni ya hiyo nyumba Kilomita 2.5 toka stendi Huduma zote zipo Umeme na maji ni kuvuta tu Kimebaki kimoja tu 0744757738 0784376888
  2. V

    Kiwanja kinauzwa Kibada Kigamboni

    kiwanja kipo karibu na barabara ya lami kina ukubwa wa sqm 1700 bei milioni 70 mazungumzo yapo mawasiliano 0659962452
  3. dalalitz

    Kiwanja chakukata,sqm.600,Tshs.70 milioni, Mbezi-Afrikana

    Hapa
  4. W

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    .
  5. dalalitz

    Plot4Sale Kiwanja chenye msingi, kinauzwa na bank, sqm. 600, tshs.7 milioni, Mabwepande

    ...
  6. Y

    Plot4Sale Nauza kiwanja Zinga Mlingotini

    Habari ndugu zangu,nauza kiwanja ukubwa ni 20 ×24 kiwanja kipo karibu na barabara ya vumbi inayoenda mlingotini kina karatasi ya mauziano bei 6,00,000/= maongezi kidgo yapo Phone number 0657759846, 0653652755 Kiwanja kipo nyuma ya nyumba ya kwnza kutoka barabara ya vumbi..kina njia pana tu ya...
  7. M

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI Nauza kiwanja changu kilichopo Ihungo, Bukoba Mjini. Kiwanja ni tambarare, kina ukubwa wa 20m x 40m, na barabara inapitika vizuri hadi kiwanjani. 📍 Mahali pazuri kwa makazi 🏫 Shule, hospitali na maduka vipo karibu 📄 Miliki halali, salama...
  8. radhiya

    Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya. Kipo kilomita 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  9. ndege JOHN

    kama unataka kiwanja nunua kipindi hiki cha mvua ulijue eneo vizuri

    usinunue kipindi cha kiangazi kama unataka kiwanja tafuta msimu wa mvua eneo unaliona vizuri kama lina asili ya matope au kuna maji yanapita chini kwa chini ili kuepuka changamoto.Na bora matope kuliko ununue kiwanja sehemu ambayo ni wetland.kiangazi hutagundua .
  10. Blaszczykowski

    Kiwanja kinauza nusu Heka - Dar es salaam - Bunju A

    Habari . Kiwanja kinauza takribani nusu heka kipo Dar es salaam -wilaya kinondoni -Bunju A karibu na Sarafia school. Price - 95m maongezi yapo -kutoka bagamoyo road mpaka site NI DK 10 Tu ( mtaa WA madoctor ) Full document zipo ukitaka kupaona anytime nipo apa Bunju WhatsApp / call 0715160365
  11. dalalitz

    Plot4Sale Kiwanja safi chenye hati, SQM 400, Tsh. Milioni 55, Kigamboni darajani

    .....
  12. MNEKI

    Kiwanja kinauzwa Msalato -Dodoma

    Deleted
  13. dalalitz

    KIWANJA CHENYE MSINGI, SQM.500, KINAUZWA NA BANK,TSHS.13 MILIONI, MBEZI-MSAKUZI.

    ....
  14. dalalitz

    Kiwanja sqm.4,000, tshs.65 milioni, picha-ya-ndege, Kibaha

    ...
  15. F

    Kiwanja kinauzwa Arusha olasiti darajani barabara ya Mrombo

    Kiwanja kinauzwa arusha olasiti kipo njia ya mrombo kabla ya ffu kambi darajan kulia ukitokea mjini mita 800 kutoka lami mpaka kwenye kiwanja huduma zote zipo karibu kiwanja kina hati ni 18*25 eneo lipo barabarani kwenye barabara za mitaa bei ni 20m maongezi yako. Serious only 0629194102.
  16. radhiya

    Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya. Kipo kilomita 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  17. asanteelimu2016

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Toangoma

    Nauza kiwanja kipo Toangoma Malela Ukubwa sqm 800 (40×20) Kiwanja kina hati ya wizara miaka 90 Mtaa umepangika vizuri na barabara za mtaa safi. Kilometa 1.5 kutoka barabara ya Kongowe Kigamboni (Funcity) Kilometa 1 kutoka barabara ya vikunai Chekechea. Bei Tsh Milioni 18 (Neg) 0717727504
  18. K

    Plot4Sale Kiwanja sqm 535, kina hati

    Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa Jumamosi (Loliondo). Linapatikana kupitia barabara ya Tamco-Mapinga, ambayo ipo katika ujenzi wa...
  19. KOMANDO YOSO

    Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma. 1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi 2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi. 3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni...
Back
Top Bottom