Vijana wengi tunaona maisha magumu sana sio kwamba hatujitumi, hapana. Ila shida ni kutaka kujilinganisha na mafanikio ya watu waliokizi umri wa utafutaji, ingawa pia wapo tunajilinganisha na rika letu, hata hivyo tunasahau historia au hali ya uchumi wa familia zao
Ninachoamini kipi? Kwangu...