Ukweli mchungu: Mayele bado ana miss kitu kimoja kikubwa sana!! Ndicho kinacho fanya Kibu Dennis aonekane bora kuliko Mayele

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,101
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
 
Nakunywa uji huku nafatilia waje kutoa povu

20220521_092039.jpg
 
Vinara wa Assists ligi kuu !

1. 🎯 05 = Jesus Moloko

2. 🎯 04 = Abubakar Ngalema
....🎯 04 = Christian Zigah
....🎯 04 = Djuma Shabani
....🎯 04 = Feisal Salum
....🎯 04 = Pius Buswita
....🎯 04 = Reliants Lusajo
....🎯 04 = Tepsie Evans
....🎯 04 = Ntibazonkiza
.
.
Vinara wa magoli ligi kuu !

1. ⚽ 13 🎯 03 = Fiston Mayele
....⚽ 13 🎯 03 = George Mpole

2. ⚽ 10 🎯 04 = Reliants Lusajo
3. ⚽ 08 🎯 02 = Rodgers Kola
4. ⚽ 07 🎯 04 = Ntibazonkiza

5. ⚽ 07 🎯 03 = Abdul Sopu
....⚽ 07 🎯 03 = Matheo Anthony
....⚽ 07 🎯 02 = Anuar Jabir
....⚽ 07 🎯 01 = Medie Kagere
 
Mimi kilichonifurahisha ni rekodi yake ya kuzifunga timu zote kubwa (Simba, Azam na Namungo) ndani ya msimu wake wa kwanza. Sadi sana
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
 
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
Mimi naona kila mchezaji abakie kama alivyo! Mayele abakie kama Mayele, na huyo Kibunenga abakie kama Kibunenga!

Mbona hujasema ungetamani kumuona huyo Kibu akipunguza kukimbia kimbia uwanjani kama faru aliye jeruhiwa na majangili?
 
Vinara wa Assists ligi kuu !

1. 05 = Jesus Moloko

2. 04 = Abubakar Ngalema
.... 04 = Christian Zigah
.... 04 = Djuma Shabani
.... 04 = Feisal Salum
.... 04 = Pius Buswita
.... 04 = Reliants Lusajo
.... 04 = Tepsie Evans
.... 04 = Ntibazonkiza
.
.
Vinara wa magoli ligi kuu !

1. 13 03 = Fiston Mayele
.... 13 03 = George Mpole

2. 10 04 = Reliants Lusajo
3. 08 02 = Rodgers Kola
4. 07 04 = Ntibazonkiza

5. 07 03 = Abdul Sopu
.... 07 03 = Matheo Anthony
.... 07 02 = Anuar Jabir
.... 07 01 = Medie Kagere
Mleta mada yeye amepata wapi takwimu zake? Mbona makolo wanakua watu wa hovyo namna hii?

Mayele na Kibu, ni kama Benzema na Samatta!
 
Mashabiki wa utopolo wanaamini Mayele hasipofunga sababu huwa ni kukamiwa na kulogwa, sasa kwa nini ajitume zaidi wakati Mashabiki washampa sababu?
 
Unafanya mchezo na Mayele wewe! Shida kubwa anayoipitia Mayele ni kukamiwa na wapinzani wote hivyo hiyo njaa unayoisema si lelemama!
Huwa nashangaa watu wanaosema mchezaji fulani au timu fulani haijacheza vizuri kwa sababu imekamiwa! Hivi unapoingia katika mashindano, unategemea watu wakuachie hivi hivi tu? Wakikukaba unasema umekamiwa, kwani wewe umezuiwa kuwakamia?
 
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
We mweu ata ujui ĝame plan ya kocha jana ilikuwa ni nini, kwani mayele alijipeleka nje? Si alipumzishwa na kocha, alafu ujue yanga anatakiwa asafiri kesho kwenda kucheza na biashara jumatatu ina maana ndani ya siku 3 mechi 2 unafikiri usipofanya rotation ya wachezaji utawezaje kumantain mechi za karibu karibu namna iyo? Nini maana ya kusajili wachezaji 30 kwenye timu? Wengine wanasajiliwa ili walambe mishahara ya bure? Wewe kwa akili yako fupi unategemea mayele tu ndo awe anakufungia magoli kila mechi? Sidhani kama yanga ina watu wasiojielewa kama wewe inawezekana unajificha kwenye kichaka cha uanayanga kumbe ni kolo lililokomaa, mambo mengine sio mpaka utumie akili kubwa kuyang'amua, yaani kibu denis ndo umlinganishe na mayele!! Aingii ata robo, kawaulize mabeki wa timu za ligi kuu kwamba kumkaba kibu denis na kumkaba mayele ni bora umkabe nani watakupa majibu alafu urudi apa utupe mrejesho wala siwezi kujisumbua kukupa takwimu za wawili hao
 
Back
Top Bottom