DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,931
- 45,389
Nilichogundua anachokula mtu ndo halali yake na ndo Mali zake .
Ndio maana chakula kinapewa heshima Duniani kote.
Hata Mtu ukiweza mpatia chakula kizuri lazima atakuheshimu na kukuadmire.
Mfano ukiangali hela tunazospend kwenye kula ..yaani Ni hela nyingi sana ambazo tungekuwa tunaishi bila kula hata sisi ambao hatujaingia uchumi was Kati tungemiliki Magari na Majumba.
Mpaka hapa Nina 24 years ila kiukweli Nimeshatumia gharama kubwa katika chakula ukilinganisha na kitu chochote.
Aisee ndugu Chakula ndo Mali yenyewe.
Hata wahaya wanasema "Akolya nikokawe".
Ndugu tuhakikishe tunakula vizuri maana unajibana unakula vibaya unaweka Assets kibao mwisho ukifa warithi wanauza na kwenda kula Bata.
Ndugu tule yaani tule ndo Maisha yenyewe hata Wadangaji Ni njaa tu inayowafanya wanauza uchi.
Ndio maana chakula kinapewa heshima Duniani kote.
Hata Mtu ukiweza mpatia chakula kizuri lazima atakuheshimu na kukuadmire.
Mfano ukiangali hela tunazospend kwenye kula ..yaani Ni hela nyingi sana ambazo tungekuwa tunaishi bila kula hata sisi ambao hatujaingia uchumi was Kati tungemiliki Magari na Majumba.
Mpaka hapa Nina 24 years ila kiukweli Nimeshatumia gharama kubwa katika chakula ukilinganisha na kitu chochote.
Aisee ndugu Chakula ndo Mali yenyewe.
Hata wahaya wanasema "Akolya nikokawe".
Ndugu tuhakikishe tunakula vizuri maana unajibana unakula vibaya unaweka Assets kibao mwisho ukifa warithi wanauza na kwenda kula Bata.
Ndugu tule yaani tule ndo Maisha yenyewe hata Wadangaji Ni njaa tu inayowafanya wanauza uchi.