Kitu (Persian: كيتو, also Romanized as Kītū, Kaītū, and Keytū; also known as Geytow and Gīto) is a village in Gol Tappeh Rural District, Gol Tappeh District, Kabudarahang County, Hamadan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 313, in 79 families.
Msaada tutani , upande wa Tausi watu wa ILALA , Nimekusanya document zote zinazotakiwa kwa usahihi wame-reject. Sasa kwa wiki 2 na wamekuja na kisingizio kuwa sisi sio raia wa Tanzania.
Tume-operate kampuni hii zaidi ya miaka 10 na tumesoma na kukulia Tanzania, na tumeamua kufanya shughuli zetu...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo, Februari 17, 2026, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam.
Leo kesi hiyo itaendelea kusikilizwa mfululizo katika hatua ya ushahidi, ambapo tayari mashahidi wanane wa Jamhuri wameshatoa...
Huu msala omba tu usikukute aisee unaweza kuondoka na Mali zako zingine ambazo hata hazihusiani kabisa na wizi.
Mimi kwa mara ya kwanza nimekutana na huu msala nimenunua tv nch43 nimenunua ikiwa mbovu kioo ili nivune spea almanusura inipeleke ndani.
Japo muhusika au mwenye Mali kasema ilikuwa...
Demu atakiwi kujua kila kitu . Sio demu anamjua mpaka komando kipensi.
Inatakiwa ukimuuliza “baby unamjua Lukaku?” akujibu “ni yule rafiki yako wa kijijini?”
Ukimuuliza “baby, Haaland unamjua?” akujibu “si ndo yule mtoto wa mama James?”
Sio demu anajua timu za mpira Bongo mpaka Ulaya, anamjua...
Hatujui Kombo kapewa taarifa gani, lkn yumkini itakuwa ni kuhusiana na mauaji ya 29/10 na kesi iliyofunguliwa ICC.
Waliokuwa wanasema hakuna kesi iliyofunguliwa ICC na kudhani mambo yataisha, business as usual wafikirie upya.
==========
On the margins of the #AUSummit in Addis Ababa, #ICC...
Wakuu wasalaam
T.A.M LISSU ndiye mtetezi wa taifa hili na watanganyika kuombewa ni lazima, TUMUOMBEE MBEBA MAONO....T.A.M LISSU.
Niliwahi kupata story za watu mbalimbali na pia kuona kwenye porno video kuhusu kusex na mwanamke na aka squirt ( kumwaga maji kama mkojo ) hii siyo orgasm so...
Wadogo zangu kama una mpango wa kufanya jambo aiseee lifanye mapema
ukianza kufika aged from 35 haki ya nani unaanza kujilaumu mwenyewe polepole
Sisi ma braza wenu saivi wengi tumeanza kujuta tangu tumeanza kuingia 35 going to 40
Kale katabia kaa waiting for tommorow to do something ndo...
Raha ya mapenzi ni miguno na sauti laini kutoka kwa mwanamke , mwanamke asiyetoa miguno hajafundwa uyo na ni mshamba wa mapenzi. Uko telegram watu wananunua video za majamboz si kwamba ni nzuri sana bari zire sauti za kusisimua.
https://www.jamiiforums.com/threads/nchimbi-awaomba-viongozi-wa-dini-kumwombea-rais-samia-dhidi-ya-watu-wabaya.2418471/
Hiki ni kipande kidogo cha video clip cha hotuba ya VP Dr Emmanuel Nchimbi alipohudhuria mkutano wa CPCT jana tarehe 7/2/2026.
Ujumbe wa hotuba hii unasisitiza mambo kadhaa...
Weka kumbukumbu nzuri isiyo ya uonevu. Kipindi hiki toka Jiwe mpaka hapooooooo, weka kimbukumbu. Hata vizazi vyao walioshiriki kikamilifu kuiuza Tanganyika na wanufaika, will pay the price!
Asee dunia kubwa,
Narudia tena wazee dunia kubwa sana. Leo nimelitoa out jimama la kizungu nililolipata miezi kadhaa nyuma huku nikilipelekea moto kila siku mana halina period. Age went!
Tumekuja maeneo ya makunduchi kula bulgogi, lavasta na manalkeesh. Kuna upepo wa kutosha na watoto wengine...
Narudis
Hakuna kitu kinaondosha baraka ya pesa kama zinaa na pombee
Ukishapataa tu ukaanza kuinunulia Malaya kuinunulia Pombe hata ukiitolea sadaka ya kujimaliza. Kitaumanaa tu
Namaanisha imeingia najiisiiiii
Na ikishaingia najisi tu
Ukishainajisi basi mda si mrefu zilizopo zote zinapotea...
Habari zenu vipendhy naomba msaaada kidogo kuna mdogo wangu wa kiume anasema anahisi kama kuna kitu kifuani upande wa kushoto huwa anakihisi ila hakiumi ni vile anahisi km kuna kitu na sio muda wote ni baadhi ya muda hlf presha yake ipo juu kdg ni 134/90 naomba maelekezo ushauri ili nione naenda...
Mimi nishawahi kufanya kazi pale kama hakuna jambo la maana atawakaribisha na mtaishia kupiga picha tu.
Warudi hata mara elfu waone kama watapata wanachokitaka, amesema Balozi W. Slaa.
NIliwahi kuwa na shida ya ajira nikaenda kiwandani nikafurahia kuambiwa ajira zipo bila rushwa lakini nilipoanza kazi siku ya kwanza tulipelekwa godown, ule mziki wa kubeba viroba si wa kitoto, mimi na rafiki yangu tuliacha viatu na hela, pesa tulikuwa tunaihitaji ila sio kwa mazingira yale...
Naomba tafsiri ya hiyo picha.
Kwene DSE
Lini unaweza toa hela??
Je kama hisa zinashuka unaweza ziuza ili usipate hasara??
Ukiuza hisa ulizo hold inachukua muda gan kupata hela yako??
Je kuna ufanano kati ya liquid acc ya utt na Hisa za DsE kwene mfumo wa kutoa hela? Maana utt siku tatu za kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.