Hawajui hata hayo maridhiano ni kitu gani

Hawajui hata hayo maridhiano ni kitu gani

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
26,388
Reaction score
39,908
Serikali iliyojiweka madarakani baada ya vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu wizi wa kura, kuua raia na kumuapisha ndani ya kambi ya jeshi.... wamekuja na drama kabambe iitwayo TUNATAKA MARIDHIANO

Yaani, wao wamechezea katiba na mifumo yote ya haki, wameibaka demokrasia mchana kweupe na kuipa ujauzito wa wizi wa kura.. wameua na nawanaendelea kùua raia. Wanawafungulia wananchi wahojaji kesi za kubumba......

Hawajiulizi aina ya maridhiano kati ya kijamii au kisiasa yanayohitajika.

Free Lisu unconditional,
Vunja Bunge,
Jiuzulu
Weka interim government isimamie mchakato wa katiba ya wananchi.

Hapo maridhiano yatakuja yenyewe.

Nje ya hapo ni kujidanganya
 
Reconciliation without Accountability, is like saying Mickey Mouse can exist without Disney.

Yet again Tanzanian Muslims have been used to sanitize the debauchery of this lower caste Arab.​
 
Huwezi kuwaona akina Lucas Mwashambwa wala Tlaatlaah wakija kuchambua hapa maana neno HAKI kwao ni ugaidi
Amani ya Bwana na upendo wa Yesu Kristo viwe nanyi nyote sasa na hata milele Aimen 🙏

Gentleman,
Amani ni baba, mama, bibi na bubu wa haki.
Bila amani, fursa hupotea na ndoto husimama. Kila mmoja wetu ana wajibu wa kulinda amani. Tanzania ni yetu sote, tuilinde.🐒
 
Amani ya Bwana na upendo wa Yesu Kristo viwe nanyi nyote sasa na hata milele Aimen 🙏

Gentleman,
Amani ni baba, mama, bibi na bubu wa haki.
Bila amani, fursa hupotea na ndoto husimama. Kila mmoja wetu ana wajibu wa kulinda amani. Tanzania ni yetu sote, tuilinde.🐒
Nashukuru unaniita gentleman wakati najua haumaanishi hivyo.

Zaidi ya ufisadi na kukandamiza raia, ni kitu gani kingine Amani kumewasaidia watawala?
 
Nashukuru unaniita gentleman wakati najua haumaanishi hivyo.

Zaidi ya ufisadi na kukandamiza raia, ni kitu gani kingine Amani kumewasaidia watawala?
Gentleman,
bila amani,
ufisadi wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa usingeonekana na wala asingedhulumu uhai wa mfanyakazi wake kindezi ndezi vile kwasababu ya pesa, kwakua ingekua ni tafrani kukimbia kiholela kila moja kutetea uhai wake, okay?🐒
 
Gentleman,
bila amani,
ufisadi wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa usingeonekana na wala asingedhulumu uhai wa mfanyakazi wake kindezi ndezi vile kwasababu ya pesa, kwakua ingekua ni tafrani kukimbia kiholela kila moja kutetea uhai wake, okay?🐒
Wafuasi wa ma-cartels ya mafuta ni nguruwe
 
Back
Top Bottom