Habari zenu wana JF,
Covid-19 ni jina la ugonjwa unaosababishwa na kirusi cha Corona kinachoshambulia mfumo wa upumuaji kwenye mapafu. Kwa kirefu ni Corona Virus Disease 2019, hivyo 2019 ndiyo wataalamu wameugundua baada ya kuanza kule mji wa Wuhan nchini China na kusambaa duniani kote.
Hapa...