kisasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jkitamoga

    Mtamba wa kisasa anaweza kupandwa akiwa na umri gani?

    Kwa wataalam naomba msaada nina Mtamba wangu Ana umri wa miezi 13 aliingia heat mara ya kwanza mwezi machi . Upi ni umri sahihi wa kumpandisha?
  2. Dennis Robert Shughuru

    Kutajengwa Hospital kubwa mpya za kisasa

    Nikiwa Rais kutajengwa hospitali kubwa za kisasa zisizopungua nane (8) Zitakuwa na sifa zifuatazo;- 7t (7 tesla) MRI machine @4 kwa kila hospital kwa kuanzia na baadae zitaongezeka kulingana na mahitaki Ct scan number @12 na zitaongezeka kulingana mahitaji ya hospotali Radiotherapy facilities...
  3. W

    Zijue dondoo muhimu kuhusu kiwanda cha kwanza cha kuchenjua shaba kwa kutumia teknolojia ya kisasa cha Mast- Chunya Mbeya

    KUANZISHWA Mineral Access Systems Tanzania Ltd (MAST) ni Kampuni ya Kitanzania, iliyoanzishwa mwaka 2011, ikiwa na dhamira ya kuendeleza biashara ya madini kwa njia shirikishi na endelevu. Imekuwa ikifanya biashara ya madini ya kimkakati (strategic minerals) ndani na nje ya nchi mfano Zambia...
  4. U

    Waziri wa Ulinzi Israel Katz Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ni "Hitler wa kisasa" na "hawezi kuendelea kuwepo

    Akitembelea eneo la shambulizi la kombora la asubuhi ya leo huko Holon, Waziri wa Ulinzi Israel Katz anasema Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ni "Hitler wa kisasa" na "hawezi kuendelea kuwepo." Anasema kuwa chini ya malengo ya vita ya IDF, "bila shaka mtu huyu hapaswi kuendelea...
  5. Richard

    Nimemsikiliza DG wa MOFAT, ni Mtanzania, msomi na ameeleza uzuri kuhusu mradi na kampuni yake Watanzania tumuunge mkono ataendesha mradi kisasa

    https://www.youtube.com/watch?v=Wdo4iyyC_HA Tanzania ina kila sababu ya kujivunia kwa kuwa na vijana wa aina ya huyu Mohammed Abdalah Kassim ambae ni mtoto wa mjini na mzaliwa wa Magomeni Makuti, jijini Dar-es-Salaam. Akihojiwa na TV ya Millard Ayo Mohamed amejieleza uzuri sana na kuuelezea...
  6. B

    Tunatengeneza showcase za kuhamishika za kisasa kabisa

    kwa wapangaji showcase za kisasa za kuhamishika izo apo.. hapo ata tv inch 65 haidondoki. wenye nyumba skuiz awatak mtoboe ukuta sasa showcase hizi ndo kiboko ya wenye nyumba 🤣 Ata ukiwa na nyumba yako hizi zinakufaa sana.. Tupo dar mbagala Nipe oda boss tukutengenzee Bei ni kutokana na ukubwa...
  7. Alloyce PR

    Uongozi wa majaribio na make-up ya kisasa

    "Kumchagua kiongozi kwa majaribio ni kama mke wangu akijaribu mapishi ya YouTube bila kuelewa lugha. Supu inageuka uji, wali unakuwa chakula cha kuku, halafu bado ananiambia ‘hivi ndivyo wanavyofanya Ulaya!’" — Alloyce, P.R. 😂😂
  8. elite wastes

    mifumo ya choo ya kisasa

    matumizi makubwa hayapaswi kuwa kati ya hofu zako taasisi zinaamini suluhisho la majitaka ni Elite Wastes ukiwa na Elite Wastes, utaepuka matatizo ya kunyonya majitaka, harufu mbaya na hutokuwa na hofu juu ya matumizi ya maji nyumbani Karibu Sana Elite wastes upate mfumo ulio bora, piga simu...
  9. Mshana Jr

    Misuko ya kisasa kwa wanawake tuu

  10. marklondon101010

    Elon Musk has just unveiled XChat, a what app alternative

    Elon Musk has just unveiled XChat, a revolutionary new platform that is set to redefine private communication. With a strong focus on security and user privacy, XChat offers a suite of features that will elevate the messaging experience. It boasts end-to-end encryption, ensuring that all your...
  11. L

    Wakulima wadogo wa Kenya wakumbatia teknolojia ya kisasa ili kuongeza mavuno yao

    Magharibi mwa Kenya, mkulima wa mahindi Josephat Ouma alipitia kwenye safu za mabua ya kijani akiwa na simu yake janja mkononi. Alisita na kuinama kabla ya kupiga picha ya jani lililokuwa linaonekana kupatwa ugonjwa. "Zamani nilikuwa nikisubiri mtu aje kusaidia. Tena baadhi ya wakati alikuwa...
  12. Lyamba lya mfipa

    NAUZA NYUMBA YA KISASA HAPA VIKINDU NYUMA YA MTAA WA POLISI 0673294681

    Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi. Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681. Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi. Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
  13. Lyamba lya mfipa

    House4Sale Nyumba ya kisasa inauzwa Vikindu karibu na stand/ 0673294681

    Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi. Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681. Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi. Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
  14. R

    Kassim Majaliwa atakuwa mbunge wa kawaida kama Kisasa kwenye bunge lijalo?

    Waziri mkuu yupo kwenye vikao nje ya nchi. Mkutano mkuu wa chama unaendelea. Means amekosa fursa yakunong'ona na wajumbe. Mkutano huu kwenye analysis ya kisiasa alipaswa kukosa? Kwanini atumwe nje dakika hizi? Unaweza kumshauri ajiandae kumwachia Doto kiti?
  15. Waufukweni

    Madereva Watanzania washindwa kuendesha magari ya kisasa Qatar

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema madereva wa Tanzania waliopelekwa nchini Qatar hawajaajiriwa kutokana na kushindwa kuyatumia magari ya kisasa.
  16. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Mimi natumia gharama kubwa kupata mchanganyo kwaajiri ya nguruwe ambao ni:- Pumba mahindi 700kg Concentrate 50kg Mashudu 200kg OlaQuindox 500mg Bokhash 10kg Dcp 10pkt Pig booster 10pkt Toxic binder 1kg Jumla tani 1 ya chakula. Napata matokeo lakini faida inakuja ndogo sana. Je wanajamii...
  17. stabilityman

    Kama unataka ngazi za kisasa zinazojulikana kama floating stairs nichek

    Kama unataka ngazi za kisasa zinazojulikana kama floating stairs nichek Sikuhizi ushindwe wewe tu mafundi Tz wapo 0743 257 669 Ufundi 600,000 kwa nyumba za makazi material utanunua mwenyewe 0743 257 669 tupo ukonga dsm
  18. V

    Tunachimba visima vya maji vya kisasa

    Karibuni Sana wells technology wachimbaji wa visima vya maji safi na salama borehole gharama za uchimbaji kisima ni kwa mita Dar es salaam na pwani mita moja 90,000 Mikoani mita moja 140000 Gharama zinacover uchimbaji mpk kufunga pump mawasiliano 0657710078 . 0769509666
  19. mwehu ndama

    Abdulrazak Hamza Tapeli wa kisasa katika soka

    Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji...
  20. ngara23

    Zanzibar Kuna viwanja vya kisasa, Tanganyika hakuna viwanja

    Pamoja na ushabiki wangu wa Yanga ila ningependa tukio la kihostoria la mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ingechezwa Tanganyika Hii mechi ni kubwa na Watanganyika wangefurahi kuwa sehemu ya tukio hili la final ya shirikisho Ajabu Zanzibar ambayo ni Taifa dogo Lina viwanja vya kisasa kama...
Back
Top Bottom