kisasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza showcase (tv units) za kisasa kwa bei nafuu sana

    Mko poa maboss zangu.. Karibu tukupendezeshee seble yako kwa showcase za kisasa. Zipo za kuhamishika na zipo za kujengea ukutani. Bei hutokana na ukubwa uutakao boss.. Za kuhamishika zinazobeba na tv Bei huanzia laki 4na 80 had lak 6 na nusu ni kulingana na ukubwa wa showcase.. Pia za...
  2. Smart Properties

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kisasa inauzwa

    NYUMBA INAUZWA - MILION 200. CHAMAZI, TEMEKE, DSM Simu/WhatsApp: 0744 993 715 ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖ SIFA ZA NYUMBA KUBWA. ✅Vyumba 4 vya kulala – Vyote ni master bedroom (Vyoo vyake ni vipyaa, unavifungua wewe) ✅Sebule kubwa ya kisasa ✅Dining room. ✅Jiko la kisasa ✅Choo cha wageni (public toilet)...
  3. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Tunachimba mashimo ya choo ya kisasa

    🔨 Unahitaji fundi wa ujenzi wa kisasa? ✅ Mashimo ya choo ✅ Septic tank ✅ Plasta na skimming ✅ Ujenzi wa nyumba zote za kisasa 🌟 Kazi safi, ubora wa hali ya juu, na bei rafiki! 📍 Tunapatikana Dar es Salaam – Temeke 📞 Piga/Sms/WhatsApp: 0789 005 562 / 0719 205 562
  4. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania MASHIMO YA CHOO YA KISASA

    📢 TANGAZO LA UJENZI 🏠🧱 🔨 Unahitaji fundi wa ujenzi wa kisasa? ✅ Mashimo ya choo ✅ Septic tank ✅ Plasta na skimming ✅ Ujenzi wa nyumba zote za kisasa 🌟 Kazi safi, ubora wa hali ya juu, na bei rafiki! 📍 Tunapatikana Dar es Salaam – Temeke 📞 Piga/Sms/WhatsApp: 0789 005 562 / 0719 205 562...
  5. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Kufuga mmbwa wa kisasa si mchezo budget yake inazidi familia nyingi

    Ukiona mtu anafuga mmbwa aina ya Germany Shepherd muheshimu gharama yake kuwatunza ni zaidi ya pesa unayomuachia mke wako
  6. whiteskin

    JamiiForums Tanzania Uhitaji wa nyumba vyumba vitatu iwe design ya kisasa

    Hbr wanajamvi nahitaji Nyumba ya kisasa ambayo sio complete finished SIFA KUU Offered 10 to 17M Kuanzia kibaha maili moja (NIDA) HADI MLANDAZ STENDI KUU LEss to km 4.5 from morogoro road RUM3 (MASTER RUM NA P.TOILET) IWE NA DESIGN YA KISASA AT LEAST IWE IMEPAULIWA LAKIN SI BAUTI NYEUPE...
  7. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Jengo linauzwa, mali ipo Dodoma kisasa, bei ni billion 1.2 pesa ya Tanzania

    #realestatetanzania GHOROFA LA KISHUA LINAUZWA. LOCATION: KISASA MUUNDO( 16 SELF CONTAINED ROOMS) AREA:1200 MSQ PRICE:1.2 BIL 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  8. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa,ipo kisasa dodoma, bei ni billion 1.2 0758844717

    #realestatetanzania GHOROFA LA KISHUA LINAUZWA. LOCATION: KISASA MUUNDO( 16 SELF CONTAINED ROOMS) AREA:1200 MSQ PRICE:1.2 BIL 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi sio expert wa mapenzi wala mahusiano, ila kijana mwenzangu hauwezi yashinda mapenzi ya kisasa thus fanya yafuatayo ili ku-cope up na mahusiano

    KWA WAREMBO: ♥️The more mwanaume anavyozisogelea pesa na mali, the more zipu yake inafunguka. ♥️Asili na chimbuko la ndoa halikuwa na kipengele cha feminism na mwanamke kuwa msemaji mkuu, thus kama unataka hivi tafuta wale jamaa wa kuvaa vipensi vifupi vya kubana mapaja tofauti na hapo...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atembelea Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo – Mtumba, leo Agosti 8, 2025

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akitembelea Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo iliyopo Mtumba Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo...
  11. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Mashimo Ya Choo Ya Kisasa

    🔨 UNAHITAJI FUNDI UJENZI? ✅ Mashimo ya kisasa ya choo na septic tank ✅ Ubora wa hali ya juu ✅ Bei nafuu na kazi safi ✅ Tunapatikana Temeke, Dar es Salaam 📞 Mawasiliano: 📱 0789 005 562 (Voda) 📱 0719 205 562 (Tigo) 📍 Kelvin Hk – Fundi mwenye uzoefu #UjenziBora #FundiDar #SepticTank
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Miji midogo ndani ya MANISPAA/JIJI itaboreshwa na kuwa ya kisasa na mizuri

    JIJI/MANISPAA nyingi zina miji midogo midogo na inakua sana ila cha kusikitisha hii miji inakua tu bila mpangilio wowote badala yake hii miji inatakiwa ijengwe vizuri na kuwa mizuri bado ipo ipo tu sio mizuri hata- Maboresho kwenye hiyo miji ni kama ifuatayo;- Kutajengwa magorofa marefu ambayo...
  13. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania 📣 Usipate Hasara Tena ,Fuga Kidigitali na Kwa Kisasa! 🐔

    Wafugaji wengi hupoteza muda, fedha, na kuku kwa sababu hawana mfumo bora wa kusimamia miradi yao. Ndiyo maana tulitengeneza Fuga App , msaidizi wako wa kidigitali kwenye kilimo cha kuku! ✅ Rekodi gharama zote za mradi ✅ Pata ratiba sahihi ya kulisha kulingana na umri wa kuku ✅ Kumbushwa siku...
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Je, uteuzi wa Balozi wa Ghana mwenye asili ya Kiasia unaonesha kuwa Waafrika ni wabaguzi zaidi kuliko hata walowezi?

    UTANGULIZI: Wiki hii, uteuzi wa Balozi mpya wa Ghana nchini Korea Kusini umezua mjadala mkubwa mitandaoni, si kwa sababu ya sifa zake au sera zake, bali kwa sababu ya sura yake. Balozi huyu ni Mghana mwenye asili ya Kiasia – jambo ambalo kwa baadhi ya watu limechukuliwa kama "kashfa" kwa...
  15. Hharyson

    JamiiForums Tanzania MTEJA AMETUPIGIA NA KUWA ANAHITAJI NYUMBA KUBWA (6BEDROOMS)NA YENYE MUONEKANO WA KISASA AMBAO SI SIMPLE SISI TUMEMPA HIZI OPTION 3 WEW UMEPENDA IPI ?

    6BEDROOMS SEBULE KUBWA NA NDOGO JIKO 2 (WET KITCHEN AND DRY KITCHEN) DINING WITH PATIO MASTER WITH PATIO TUPIGIE KWA HUDUMA NZURI 0624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  16. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Sura Tatu za Dini ya Kisasa: Biashara, Udhalilishaji na Siasa

    Katika kipindi cha sasa, dini imeanza kuchukua sura mpya katika jamii ambayo inazua maswali mengi kuhusu uhalisia wake. Kwa baadhi ya watu, dini imepoteza dhima yake ya msingi ya kuwa chombo cha maadili, mshikamano, na uhusiano kati ya binadamu na Muumba wake. Badala yake, inatajwa kuwa njia ya...
  17. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Combination na Kozi za Kisasa Zinazokuwezesha Kujiajiri: Uamuzi wa Busara kwa Wanafunzi wa Advance na Vyuo Vikuu

    Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
  18. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Combination na Kozi za Kisasa Zinazokuwezesha Kujiajiri: Uamuzi wa Busara kwa Wanafunzi wa Advance na Vyuo Vikuu

    Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
  19. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Mbinu za Kisasa za Kugundua Matatizo ya Magari Bila Kuondoa Sehemu

    Katika zama za sasa, teknolojia imeleta mapinduzi makubwa katika utengenezaji na matengenezo ya magari. Moja ya maendeleo makubwa ni mbinu za kisasa zinazowezesha mafundi kugundua matatizo ya magari bila haja ya kuondoa sehemu za gari, jambo linalookoa muda, gharama, na hata kuzuia uharibifu...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna namna fulani hivi nyakati hizi za kisasa u-kidume umekuwa bedazzled hata dogo uliemuona leo mtaani kesho unamuona ananyanyua vidole mitandaoni.

    Acha kuvaa vipensi vifupi vinavyobana mapaja na makalio. Acha kuwa motivated sana mambo ya kwenye tv. Hakikisha kufuatilia majarida na story books anazosoma mtoto wako mdogo. Mwanaume akimbilii kukaa na wadada kwenye hadhara. Mwanaume hapendi vya bure bure na offer za kila mara
Back
Top Bottom