kisasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. EJOSMAT

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ramani za nyumba za kisasa kwa ajili yako

    Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa bei nafuu sana Wasiliana nasi kwa whatsapp 0717040837/0767267664
  2. travelme2014

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mafanikio kwenye ulimwengu wa kisasa

    MAKALA: SAYANSI NA TEKNOLOJIA Miaka 200 iliopita yaani mwaka 1822 hakukuwa na kiwango kikubwa cha maendeleo ya sayansi na teknolojia. Nchi nyingi duniani hazikujua kuna jambo gani linaloendelea upande mwingine wa dunia. Kulikuwa na changamoto kubwa ya kupata tiba, usafiri, mawasiliano, nishati...
  3. Norways

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Kisasa

    Sera za kigeni, za mataifa mbalimbali ma kubwa kwa madogo kwa kuzingatia maitaji yao kiuchumi na kimaendeleo zimejikita katika, kutengeneza uhusiano mzuri kwenye uwanja wa mahusiano ya kimataifa, hili waweze kupata kiuraisi rasilimali ambazo hazipatikani kwa wingi au hazipo kabisa kwenye...
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya gani kwa serekali yetu kulitwaa eneo la vingunguti na kujenga makazi ya kisasa

    Ipo haja ya serekali yetu kuona umuhimu wa suala hili, kwa ni eneo ambalo lipo kilometre chache sana kutoka city center, linastahili kuwa upgraded n kufanana na maeneo ya upanga na kwingineko, pia ni eneo ambalo linaeweza kupangwa tukapata kariakoo 2,mpangilio wa ujenzi ufanywe kwa wenye...
  5. John Haramba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bondia Mandonga ni Kanyaboya wa kisasa, historia zao zinafurahisha, wazee wa mikwara ya hatari

    MANDONGA Kwa sasa Nchini Tanzania ukitaja jina la MANDONGA watu wengi wataanza kucheka, hiyo ni kutokana na sifa za bondia huyo ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni hasa mwaka huu 2022. MANDONGA amenikumbusha stori ya mtu anaitwa Felix KANYABOYA ambaye ndiyo huyo aliyesababisha neno...
  6. O

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mamantilie kisasa inavyoua umasikini Dar es Salaam kwa haraka

    MAMANTILIE Hii ni biashara ambayo watu wamekua wakiuchukulia kawaida lakini imetoa ajira kwa watu wengi katika miji mingi na Leo hii watu wamenufaika sana hivo kwa mtu ambae unahitaji kubadili maisha take kwa namna moja ama nyingine anapaswa kufatilia nakara hii ambayo itakujenga na utafanikiwa...
  7. MK254

    JamiiForums Tanzania Kwa uwoga, Warusi wachanganyikiwa na kulipua ndege yao ya kisasa aina ya supersonic Su-34

    Warusi wanachekesha sana kwenye huu ugomvi, mara kombora lichanganyikiwe na kurudi nyuma na kulipua pale lilipofyatuliwa, hii nyingine jamaa wadungua ndege yao wenyewe, tena ndege ya gharama sana. Uwoga umewaingia kiasi cha kufyatua fyatua tu na kulenga chochote. Vitabu vya historia vitaandika...
  8. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Treni ya Mwendokasi kuanza safari Juni 21, 2022 kutoka Dar kwenda Morogoro

    Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro.
  9. SIMULIZI RIWAYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi ya kipelelezi na love story kali ndani yake; The Modern War (Vita ya Kisasa)

    𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗢𝗗𝗘𝗥𝗡 𝗪𝗔𝗥 (𝗩𝗶𝘁𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮𝘀𝗮) 𝗠𝘁𝘂𝗻𝘇𝗶:𝘀𝗮𝘂𝗹 𝗱𝗮𝘃𝗶𝗱 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽: 0756862047 𝗨𝗧𝗔𝗡𝗚𝗨𝗟𝗜𝗭𝗜... "Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha ya utu. Sikujua kwa kufanya hivi ningeamsha vita nyingine kubwa ambayo ipo juu kabisa ya uwezo wangu...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Samaki waliosindikwa kisasa (Sanilado Universal Technology)

    Tunatoa huduma ya usindikaji samaki kisasa, samaki Hawa husindikwa kwa kutumia machine niliyotenegeza hapahapa Tanzania. Machine yetu hutumia umeme na gas na samaki huchukua masaa saba kusindikwa. Samaki Hawa huweza kaa siku nyingi pasi haribika Wala kupoteza Radha. Machine yetu huweza...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania CDF Mabeyo: Natamani Jeshi letu liwe la kisasa, tutengeneze zana zetu

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amesema anatamani Jeshi letu liwe la kisasa zaidi na liweze kuchangia uchumi wa nchi na liwe la kujitegemea ‘sustainable military’. “Kwa nini wenzetu wanatengeneza zana kutuuzia sisi, na kwa nini na sisi tusitengeneze zana za...
  12. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Soko Kuu la Mitumba Memorial Moshi lingejengwa kisasa, linaleta aibu

    Soko la Mitumba aina zote maarufu kama Memorial, lililopo katika manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro lipo katika hali ya kusitikitisha kutokana na kuwa limejengwa katika mfumo wa vibanda vya miti. Soko hilo pia limekuwa maarufu kutokana na kuwa na wateja wa mataifa mbalimbali wanaokuja kununua...
  13. beastus kway

    JamiiForums Tanzania Umwagiliaji wa kisasa

    Kwa anaye itajii huduma ya umwagiliaji wa kisasa kufungiwa mivimo pamoja na vifaa vyake
  14. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DC JOKATE: Viwanja vya michezo vya Kisasa kujengwa Temeke Mwembe Yanga

    Ujenzi wa kituo cha Michezo cha Kisasa kuanza kujengwa katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke - DC Jokate Mwegelo
  15. L

    JamiiForums Tanzania Tamasha la Dakar la kila baada ya miaka miwili la Sanaa za Kisasa za Kiafrika lafanyika

    Tamasha la Dakar la kila baada ya miaka miwili la Sanaa za Kisasa za Kiafrika lafanyika.
  16. Ngatunga1

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mayai ya kisasa

    Nahitaji mfugaji anayeweza kuzalisha mayai zaidi ya trei 100 kwa wiki. Nanunua trei 100 kila wiki. Bei isizidi 6000/= kwa trei moja. Mawasiliano:call/whatsapp 0674574112. Email: ngatungaa37@gmail.com
  17. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Fursa Congo: Sasa tuboreshe Tazara kuwa SGR, njia nne Mbeya -Songwe na tujenge Barabara na reli ya Kisasa hadi bandari ya Kalemi, Katavi

    Baada ya DRC kuingia rasmi EAC , mataifa makubwa katika Jumuiya hii Uganda Kenya na Tanzania,yanaendelea kupambana kukamata fursa ili kushika soko la nchi hii yenye watu zaidi ya Milioni 100 Wakati Uganda akijenga Barabara kuingia majimbo ya kaskazini mwa Congo, Kenya anafungua Ofisi Mombasa...
  18. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaotoa huduma za tiba ya asili wanaruhusiwa kujitangaza na wanaotoa tiba za kisasa hawaruhusiwi?

    Nenda radio zote, hasa za mikoani utaona wana vipindi kibao vikitangaza tiba asili na tiba mbadala. Wengi unawakuta wanaelezea magonjwa kama UTI, utasa, nguvu za kiume nk. Wengi wanaelezea kwa uelewa wa kuungaunga na upotoshaji. Sheria ya kutotangaza huduma ya afya iliwekwa kwa ili kumlinda...
  19. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Majaribio ya Mifumo ya Umeme Katika Reli ya Kisasa (SGR) Dar es Salaam - Morogoro MOROGORO

  20. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Video: Kilimo cha ngano cha kisasa kinachofanyika nchi Urusi

    Nimeikuta hii video mahali, inaonyesha ni jinsi gani Urusi inafanya kilimo cha ngano kisasa mno na kuweza kuzalisha kiasi kikubwa cha ngano katika eneo dogo sana.
Back
Top Bottom