Habarini wadau....
Kwa muda mrefu sanaa nimekua nikipata shida sana kwenye Lugha ya Malkia hasa kwenye kuandika/kuongea wakati humu ndani kuna wadau wengi sana wanaijua lugha ya malkia vizuri sana
Kama kila mdau anavyoichukulia JF kuna mengi sana ya kujifunza.
Ni hivi, Nikisoma kitabu cha...
Nachukulia kisa hiki PaleKarne ya Sita Papa Aliyejulikana kwa Jina la Mercurus alipobadili Jina lake na Kujiita Yohana wa II Hii ni baada ya kuaminika Mercurus alikuwa ni Mungu wa Kipagani wa Kiroma!
Vivyo Hivyo katika maisha yetu ya kawaida tumeshuhudia mara nyingi watu wakibadili majina yao...
Shalom na Assalam aleykum
Zamani nilivyokuwa na miaka saba nilikuwa nafurahi ninapo sikia mtu ana jina zuri liwe la kizungu au kiarabu au la kikabila bila ya kujua maana ya jina hilo lakini kwa sasa nimegundua uzuri wa jina ni maana haijalishi kama ni kiarabu au kizungu au kikabila
Nikikumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.