WAKATI WA KIKWETE TULIACHA KIPOLO, TUTAKIMALIZIA WAKATI WA MAGUFULI!
Mwishoni mwa mwaka jana tulipotangaza adhma ya kuandaa "Matembezi ya Hiyari" kuanzia Januari 2021 kwa lengo la kuuhamisha umma ili kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na kuandika Katiba Mpya, wapo watu waliokuwa na wasiwasi kama...