Ya Kikwete, SUK Zanzibar na Tido Mhando ni Uthibitisho kwamba nchi hii,mabadiliko ni magumu mnoooo!

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,062
Hebu Jiulize!

1. Rais Mstaafu Kikwete kwa utashi wake binafsi aliamua watanzania wapate katiba mpya ( suala ambalo halikuwa hata kwenye ilani ya CCM ).

Akatumia mamlaka yake kuunda tume ya Warioba na wakafanya vizuri sana.

Likatokea genge likaona linapokonywa keki ya taifa, likapora mchakato mpaka leo katiba mpya ni kitendawili.

2. TidoMhando alitoka BBC akaja, alifanya maboresho makubwa sana kutoka TVT, Radio Tanzania mpaka TBC International.
Ni nani hakumbuki Mchakato majimboni. CCM wakaanza kwa kuwazuia wagombea wake kushiriki midahalo na kilichomkuta Tido mpaka leo ni kitendawili.

3. Kila mwenye akili timamu anajua CCM haiwezi kushinda uchaguzi Zanzibar, wamekuwa wakipora kila uchaguzi ila baada ya kutokea machafuko na watu kuuawa ndio CCM wakakubali kukaa mezani na CUF kuunda SUK ( Yaani siyo atakayeshinda apewe nchi NOOOOO, Mshindi wa kwanza na wa pili lazima waunde serikali. )
Ilimradi kwenye serikali na wao lazima wawemo.

Yaani hapakwa lugha rahisi ni kwamba CCM kukubali kuandika katiba mpya nyakati hizi za amani ( kama alivyopenda Kikwete hawatai,mpaka yatokee machafuko watu wafe ndio CCMwakae mezani )

Hebu Jiulize na hili !!

1. Kwanini watu wenye akili wote serikali haiwataki,inataka watu kama Musukuma, Babu Tale, Mlinga, Kibajaji, Mwigulu Nchemba

2. Kwanini kila zao ambalo likionesha dalili za kutaka kumkomboa mkulima kutoka kwenye umasikini serikali inaliingilia na kulipiga sana vita mpaka linakufa ?

Iko wapi Kahawa, Mbaazi, Korosho na katani ?

Tafakari
 
Mkuu hakuna jipya hapa. Naona kuna ndoto uliyokuwa unaiota sasa imekatika ghafla.
 
Kikwete hakutaka Katiba mpya, kama angekuwa na nia hiyo angemuacha Sitta amalizie kazi aliyokuwa anaelekea kuifanya vizuri, unaposema "likatokea genge likaupora mchakato wa Katiba" unakosea, kwasababu hilo genge haliwezi kuwa na mamlaka zaidi ya Rais.
 
Kwa sasa iko wazi. Tanzania inahitaji njia kama ya Ghana. Mapinduzi ya kijeshi (reset button) kisha baada ya hapo msingi mpya wa nchi yenye demokrasia na haki ujengwe.

Msingi wa nchi hii uliowekwa na mwalimu ni wa kifashisti, piga ua garagaza, ni vigumu sana kuubadilisha kwa njia ya majadiliano, madaraka ni matamu mno.
 
Hebu Jiulize!

1. Rais Mstaafu Kikwete kwa utashi wake binafsi aliamua watanzania wapate katiba mpya ( suala ambalo halikuwa hata kwenye ilani ya CCM ).

Akatumia mamlaka yake kuunda tume ya Warioba na wakafanya vizuri sana.

Likatokea genge likaona linapokonywa keki ya taifa, likapora mchakato mpaka leo katiba mpya ni kitendawili.

2. TidoMhando alitoka BBC akaja, alifanya maboresho makubwa sana kutoka TVT, Radio Tanzania mpaka TBC International.
Ni nani hakumbuki Mchakato majimboni. CCM wakaanza kwa kuwazuia wagombea wake kushiriki midahalo na kilichomkuta Tido mpaka leo ni kitendawili.

3. Kila mwenye akili timamu anajua CCM haiwezi kushinda uchaguzi Zanzibar, wamekuwa wakipora kila uchaguzi ila baada ya kutokea machafuko na watu kuuawa ndio CCM wakakubali kukaa mezani na CUF kuunda SUK ( Yaani siyo atakayeshinda apewe nchi NOOOOO, Mshindi wa kwanza na wa pili lazima waunde serikali. )
Ilimradi kwenye serikali na wao lazima wawemo.

Yaani hapakwa lugha rahisi ni kwamba CCM kukubali kuandika katiba mpya nyakati hizi za amani ( kama alivyopenda Kikwete hawatai,mpaka yatokee machafuko watu wafe ndio CCMwakae mezani )
Hebu Jiulize!

1. Rais Mstaafu Kikwete kwa utashi wake binafsi aliamua watanzania wapate katiba mpya ( suala ambalo halikuwa hata kwenye ilani ya CCM ).

Akatumia mamlaka yake kuunda tume ya Warioba na wakafanya vizuri sana.

Likatokea genge likaona linapokonywa keki ya taifa, likapora mchakato mpaka leo katiba mpya ni kitendawili.

2. TidoMhando alitoka BBC akaja, alifanya maboresho makubwa sana kutoka TVT, Radio Tanzania mpaka TBC International.
Ni nani hakumbuki Mchakato majimboni. CCM wakaanza kwa kuwazuia wagombea wake kushiriki midahalo na kilichomkuta Tido mpaka leo ni kitendawili.

3. Kila mwenye akili timamu anajua CCM haiwezi kushinda uchaguzi Zanzibar, wamekuwa wakipora kila uchaguzi ila baada ya kutokea machafuko na watu kuuawa ndio CCM wakakubali kukaa mezani na CUF kuunda SUK ( Yaani siyo atakayeshinda apewe nchi NOOOOO, Mshindi wa kwanza na wa pili lazima waunde serikali. )
Ilimradi kwenye serikali na wao lazima wawemo.

Yaani hapakwa lugha rahisi ni kwamba CCM kukubali kuandika katiba mpya nyakati hizi za amani ( kama alivyopenda Kikwete hawatai,mpaka yatokee machafuko watu wafe ndio CCMwakae mezani )

Hebu Jiulize na hili !!

1. Kwanini watu wenye akili wote serikali haiwataki,inataka watu kama Musukuma, Babu Tale, Mlinga, Kibajaji, Mwigulu Nchemba

2. Kwanini kila zao ambalo likionesha dalili za kutaka kumkomboa mkulima kutoka kwenye umasikini serikali inaliingilia na kulipiga sana vita mpaka linakufa ?

Iko wapi Kahawa, Mbaazi, Korosho na katani ?

Tafakari

Hebu Jiulize na hili !!

1. Kwanini watu wenye akili wote serikali haiwataki,inataka watu kama Musukuma, Babu Tale, Mlinga, Kibajaji, Mwigulu Nchemba

2. Kwanini kila zao ambalo likionesha dalili za kutaka kumkomboa mkulima kutoka kwenye umasikini serikali inaliingilia na kulipiga sana vita mpaka linakufa ?

Iko wapi Kahawa, Mbaazi, Korosho na katani ?

Tafakari
Mwigulu Nchemba? Tumekuwa wajinga kiasi hatujui nani ni nani? Imefika tuna taka kuaminisha wajinga ndio werevu.
 
N
Kwa sasa iko wazi. Tanzania inahitaji njia kama ya Ghana. Mapinduzi ya kijeshi (reset button) kisha baada ya hapo msingi mpya wa nchi yenye demokrasia na haki ujengwe.

Msingi wa nchi hii uliowekwa na mwalimu ni wa kifashisti, piga ua garagaza, ni vigumu sana kuubadilisha kwa njia ya majadiliano, madaraka ni matamu mno.
Naunga mkono hoja
CCM haiwezi kukabidhi madaraka kihalali kuna njia mbili tuu za kuiondoa madarakani kijeshi au kupenyeza watu makini wenye uzalendo wachukue madaraka kupitia CCM kisha wakimalize wakiwa ndani kama JK alivyoeleke kufanya
 
Kikwete hakutaka Katiba mpya, kama angekuwa na nia hiyo angemuacha Sitta amalizie kazi aliyokuwa anaelekea kuifanya vizuri, unaposema "likatokea genge likaupora mchakato wa Katiba" unakosea, kwasababu hilo genge haliwezi kuwa na mamlaka zaidi ya Rais.
Sitta yupi ?

Kama ni katiba ya Sitta mbona alimaliza na katiba pendekezwa alitengeneza, ni nini alizuiwa kufanywa?
 
Kwa sasa iko wazi. Tanzania inahitaji njia kama ya Ghana. Mapinduzi ya kijeshi (reset button) kisha baada ya hapo msingi mpya wa nchi yenye demokrasia na haki ujengwe.

Msingi wa nchi hii uliowekwa na mwalimu ni wa kifashisti, piga ua garagaza, ni vigumu sana kuubadilisha kwa njia ya majadiliano, madaraka ni matamu mno.
Magufuli kila akiingia Ikulu akipiga mahesabu anaona zimebaki siku chache mnooooo.

Awamu ya kwanza wakati anafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu siku 100 akazungumzia siku alizobakiza.

Awamu ya pili akazungumzia kina Lukuvi na Kabudi .
 
Mwigulu ana PhD ya uchumi ulishawahi kumsikiliza sehemu oyote akizungumzia jambo lolote la maana kuhusu uchumi ?
Mara nyingi tuu, Mwigulu aliyepata First Class B.A Economics UDSM, nilipata ukaribu na kubadilishana naye uelewa on Financial Maerkets na Markets Econimies mara nyingi tuu wakati akiwa mtumishi wa BOT.

Kichwa safi na uelewa wa kutosha. Nimepoteza ukaribu wa kitaaluma na Mwigulu mwana siasa.
 
Back
Top Bottom