Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Amani iwe nanyi wadau.
Heri ya siku ya jumapili!!
Leo napenda kuelezea kwa kifupi kuhusu makachero wenye haiba ya kutabasamu kucheka kuwa ni watu wa kuogopwa kupindukia
1. Emerson Mnagangwa
Huyu sasa ndo Raisi wa Zimbabwe, kabla ya kuwa Raisi aliwai kuwa Makamu wa Raisi na kabla ya hapo aliwai kuwa Waziri na Mkuu wa Usalama wa Zimbabwe. Huyu aliishi na Mugabe Kama mtu loyal sana kwake. Mugabe alivyoanza ujinga alianza mipango ya chini ya kumuondoa Mugabe ila haiba yake ya kucheka na kutabasamu vilimfanya Mugabe ashindwe kumgundua.
Baada ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo akiwa makamu wa Raisi alishirikiana na mshirika wa Mugabe China kumuondoa Mugabe madarakani. Hadi Mugabe anatoka madarakani hakuamini kuwa kachero mbobezi Mnagangwa ndo amemtoa madarakani.
Kwenye speech yake ya kwanza baada ya kumpindua Mugabe alisema ameongea kwa kirefu na kupongezwa na swahiba wake Jakaya Kikwete😀
2. Jakaya Kikwete.
Huyu watanzania wanamjua sana anakuchekea vizuri nje ila hujui analokuwazia ndani. Lowassa alichekewa sana, aliachwa afanye kila kitu na siku ya mwisho hakuamini alichokuja kukiona. Hiyo ndo kikwete
3. Bernad Camilius Membe.
Huyu kama Kikwete na Mnagangwa nae ana tabia zinazoendana nao. Ana haiba ya kucheka na kufurahi muda wote Ila hujui anakuwazia nini.
Leo nitaishia hapa sitamuongelea sana ila naisi Kuna watu walifikiri wameweza kumpandikiza mahali kumbe waliribuniwa na haiba yake. Alisema kama masikhara atafunga Goli dk ya 89 kwenye uchaguzi huu. Naisi sasa anaelekea kufunga
Poleni sana CCM , Poleni sana wana Lumumba😂😂😀
Heri ya siku ya jumapili!!
Leo napenda kuelezea kwa kifupi kuhusu makachero wenye haiba ya kutabasamu kucheka kuwa ni watu wa kuogopwa kupindukia
1. Emerson Mnagangwa
Huyu sasa ndo Raisi wa Zimbabwe, kabla ya kuwa Raisi aliwai kuwa Makamu wa Raisi na kabla ya hapo aliwai kuwa Waziri na Mkuu wa Usalama wa Zimbabwe. Huyu aliishi na Mugabe Kama mtu loyal sana kwake. Mugabe alivyoanza ujinga alianza mipango ya chini ya kumuondoa Mugabe ila haiba yake ya kucheka na kutabasamu vilimfanya Mugabe ashindwe kumgundua.
Baada ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo akiwa makamu wa Raisi alishirikiana na mshirika wa Mugabe China kumuondoa Mugabe madarakani. Hadi Mugabe anatoka madarakani hakuamini kuwa kachero mbobezi Mnagangwa ndo amemtoa madarakani.
Kwenye speech yake ya kwanza baada ya kumpindua Mugabe alisema ameongea kwa kirefu na kupongezwa na swahiba wake Jakaya Kikwete😀
2. Jakaya Kikwete.
Huyu watanzania wanamjua sana anakuchekea vizuri nje ila hujui analokuwazia ndani. Lowassa alichekewa sana, aliachwa afanye kila kitu na siku ya mwisho hakuamini alichokuja kukiona. Hiyo ndo kikwete
3. Bernad Camilius Membe.
Huyu kama Kikwete na Mnagangwa nae ana tabia zinazoendana nao. Ana haiba ya kucheka na kufurahi muda wote Ila hujui anakuwazia nini.
Leo nitaishia hapa sitamuongelea sana ila naisi Kuna watu walifikiri wameweza kumpandikiza mahali kumbe waliribuniwa na haiba yake. Alisema kama masikhara atafunga Goli dk ya 89 kwenye uchaguzi huu. Naisi sasa anaelekea kufunga
Poleni sana CCM , Poleni sana wana Lumumba😂😂😀