Kufuatia maandamano ya kizalendo Kenya, serikali ya huko, imeamua kushusha bei za vyakula.
Upinzani unataka bei ya unga kwa kilo isizidi 2,000/- za kitanzania, vinginevyo wanarudi Tahrir.
Bei ya Unga itashuka kuanzia wiki ijayo, Rais Ruto aahidi
Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine)...