Rais Samia na Viongozi wa Taasisi za Kimataifa wakishiriki kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Afrika Nchini Kenya

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 2023) Nairobi- Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.
4954662c-f30d-4020-938f-f9f2ffb9adb7.jpg

ff977b8c-56de-4238-be74-0fdb323c1dd3.jpg

20beec55-1ed5-4286-9021-2f99fb519276.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Wakuu wa Nchi na Serikali pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) unaofanyika katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.

ec7348e8-9cc5-4157-b01f-09205b317d4e.jpg

f5c84fe4-ee93-4701-99bf-800a8df8a8d3.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Wakuu wa Nchi na Serikali pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa wakati wa Wimbo wa Umoja wa Afrika (AU) na ule wa Taifa wa Kenya ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23).

d63d1740-b61c-40c4-8176-9dbb718ad8a5.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.

5aed1497-0fea-4eaf-9519-f7bf41cd412b.jpg

937e9cf5-63df-4882-8a29-626ca588f2e4.jpg
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo katika Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.
 
Huyo Odinga wanamuendekeza sana ameketi hapo safu ya mbele kama nani?

Bottom line: waafrika tuna mambo ya hovyo sana aisee... mwaka mzima hawa viongozi wanazurula kwenye summits tu zisizowasaidia chochote zaidi ya kwenda kufedheheka kama yule rais wa Cameroon aliyejamba mbele za watu!
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 2023) Nairobi- Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Wakuu wa Nchi na Serikali pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) unaofanyika katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Wakuu wa Nchi na Serikali pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa wakati wa Wimbo wa Umoja wa Afrika (AU) na ule wa Taifa wa Kenya ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo katika Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023.

Wagalatia wamefurwa na hasira kwa kumuona january
 
Show off za mavazi tu hizi, hakuna lolote.

Waafrika wana unasaba na umaskini. Akili za waafrika zimejaa fikkra za ngono tu. Mwacrika akishakula anaenda kulala badala ya kutumia energy ya msosi kufikiria namna kukabiliana na changamoto
 
Kweni sisi Wapinzani mazingira hayatuhusu?
Suala sio upinzani hapa najadili faida za hizi summits zisizoisha mwaka mzima... walikua Kwenye mkutano kama huu ulaya... mara rasilimali watu mara EAC mara SADC mara AU... sijui maziwa makuu... mara economic forums na upuuzi mwingine mwingi... hizi talk shops zimeisaidia nini Afrika?
 
Suala sio upinzani hapa najadili faida za hizi summits zisizoisha mwaka mzima... walikua Kwenye mkutano kama huu ulaya... mara rasilimali watu mara EAC mara SADC mara AU... sijui maziwa makuu... mara economic forums na upuuzi mwingine mwingi... hizi talk shops zimeisaidia nini Afrika?
Nilikuwa nafikiri unamuongelea Raila Odinga
 
Huyo Odinga wanamuendekeza sana ameketi hapo safu ya mbele kama nani?

Bottom line: waafrika tuna mambo ya hovyo sana aisee... mwaka mzima hawa viongozi wanazurula kwenye summits tu zisizowasaidia chochote zaidi ya kwenda kufedheheka kama yule rais wa Cameroon aliyejamba mbele za watu!
As former Prime minister of Kenya!
 
Back
Top Bottom