Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,129
- 2,982
Zaweza kuwa ni nchi zitakazofanikisha sana mashindano haya. CAF wasione haya wayalete tu huku kwenye mzuka wa mpira. Ufunguzi iwe Tanzania na ufungaji pia iwe Tanzania.
Dua zenu tafadhari.
=====
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limepitisha ombi la pamoja la nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mwaka 2027.
Ni rasmi michuano hiyo itachezwa katika nchi hizo tatu.
Dua zenu tafadhari.
=====
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limepitisha ombi la pamoja la nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mwaka 2027.
Ni rasmi michuano hiyo itachezwa katika nchi hizo tatu.